tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,864
- 3,851
Usionee, usinyanyase, usibague, usikandamize, usidhurumu, usisumbue, usihangaishe, usidharau, usipuuze, usisononeshe, mtu kwa sababu ya cheo na madaraka, uliyopewa.
Hivyo ni vya muda, vinapita, ila ubinadamu na utu vinadumu kizazi hata kizazi.
Tenda Haki.
Hivyo ni vya muda, vinapita, ila ubinadamu na utu vinadumu kizazi hata kizazi.
Tenda Haki.