Semahengere
JF-Expert Member
- Nov 29, 2020
- 1,186
- 1,955
Hebu tupangie series' za fuso Ili tujue unazifahamu vizuriFuso ya tani 4 umeitoa wapi mkuu?? Au unaongea tu jamaangu
Naongea kutokana na uzoefu wa zaidi ya miaka 10 kuendesha Fuso (zote namanisha single,tipper na tandam) na uzoefu wa miaka 7 ya kumiliki Fuso zaidi ya 10
Usiongee vitu usivyovijua.
Nitakubaliana na wewe kuhusu ishu ya MADEREVA tu kuwa hao ni pasua kichwa ila sijuI kama wanatumia hivyo vitu umeorodhesha.
Ajali za Tanzania hii sababu kuu ni 3
1:Elimu ya MADEREVA
2:Barabara vimeo
3:Spea vimeo
Usisingizie FUSO mkuu. Achana nayo kabisa
Na Mimi nitakuja Kwa evidence ..isije ukawaongopea watu wasiojua magari