Mamlaka husika fanyieni utafiti haya malori aina ya FUSO

Fuso ya tani 4 umeitoa wapi mkuu?? Au unaongea tu jamaangu

Naongea kutokana na uzoefu wa zaidi ya miaka 10 kuendesha Fuso (zote namanisha single,tipper na tandam) na uzoefu wa miaka 7 ya kumiliki Fuso zaidi ya 10

Usiongee vitu usivyovijua.

Nitakubaliana na wewe kuhusu ishu ya MADEREVA tu kuwa hao ni pasua kichwa ila sijuI kama wanatumia hivyo vitu umeorodhesha.

Ajali za Tanzania hii sababu kuu ni 3
1:Elimu ya MADEREVA
2:Barabara vimeo
3:Spea vimeo

Usisingizie FUSO mkuu. Achana nayo kabisa
Hebu tupangie series' za fuso Ili tujue unazifahamu vizuri
Na Mimi nitakuja Kwa evidence ..isije ukawaongopea watu wasiojua magari
 
Utafiti wa kutosha ufanyike kuhusiana na mwenendo wa haya maliri jamii ya FUSO!!!
Magari haya yamekuwa ni chanzo kikubwa sana cha ajali zinazo poteza maisha ya watanzania wengi!! Yan kama utasafiri usiku ndio utaona namaanusha nn!?? Mwendo wa haya magari sio mchezo ni hatari sana kwa watumiaji wengine wa barabara!!!aina ya madereva wa Fuso ni watu waliojitoa mhanga kwa kweli!! Pia ni watumiaji wazuri sana wa bangi ,mirungi ,k vant ,gongo nk!!! Wamekuwa ni chanzo kikubwa cha ajali!
Pili Haya malori ni tani nne lakini hayo mabodi ya fuso ( ambayo yamejengwa hapa Tanzania) yanabeba mpaka tani 12!!! Au zaidi !! Hii ni hatari mno!! Hasa kwenye mifumo ya break!!! Fuso nyingi huanguaka au kugonga sababu ni ujazo mkubwa unao sababisha break kufeil !!
Tandam inabeba 17tn
 
Madereva fuso Ni wasataarabu Sana, Kwanza hawanaga HARAKA Sana na wamerelax.

sio wale wa mabasi fujo fujo TU barabarani.
 
Utafiti wa kutosha ufanyike kuhusiana na mwenendo wa haya maliri jamii ya FUSO!!!
Magari haya yamekuwa ni chanzo kikubwa sana cha ajali zinazo poteza maisha ya watanzania wengi!! Yan kama utasafiri usiku ndio utaona namaanusha nn!?? Mwendo wa haya magari sio mchezo ni hatari sana kwa watumiaji wengine wa barabara!!!aina ya madereva wa Fuso ni watu waliojitoa mhanga kwa kweli!! Pia ni watumiaji wazuri sana wa bangi ,mirungi ,k vant ,gongo nk!!! Wamekuwa ni chanzo kikubwa cha ajali!
Pili Haya malori ni tani nne lakini hayo mabodi ya fuso ( ambayo yamejengwa hapa Tanzania) yanabeba mpaka tani 12!!! Au zaidi !! Hii ni hatari mno!! Hasa kwenye mifumo ya break!!! Fuso nyingi huanguaka au kugonga sababu ni ujazo mkubwa unao sababisha break kufeil !!
Dah....binafsi laana zangu nazielekeza kwa msanifu wa taa za mbele za Fuso... Labda kama aliambiwa Fuso ni gari ya kuwindia 🤣🤣🤣🤣🤭
 
Kuna wakati zinaingia miaka ile ya 2000+ bima nyingi walisita kuzikatia comprehensive insurance wakiona body umeifanyia modification maana zilikuwa zinapiga chini mno
Fuso ni gari ya mizigo ya uzito mdogo fuso zinaonewa mbali na hayo pongezi kwao Mitsubishi koz fuso ni gari dume sana huwezi fananisha na gari za ulaya in term of durability na mwendo
 
Wapunguze kodi watu walete maroli yanayostahili kwa kubeba mzigo sio mtu anaagiza tani nne Fuso harafu analiongeza linabeba mzigo wa tani 15 hapo mfumo wa breki na mambo mengine hayawezi kuwa sawa na bodi lililoongezwa...
 
Unakutana na gari ukitokea kwa nyuma unaweza kudhani ni scania,kwa kuangalia ile body yake...lakini ukija kwa mbele kuona ile kibini unakuta kumbe ni fuso.
Hahahaha hilo body huwa unaliangalia kwa uoga tu!

Ukitaka kujua body ya scania ni kubwa zaidi, ukute wanahamisha mzigo kutoka gari moja kwenda nyingine zikiwa zimetegeana migongo.

Kwa kifupi body ya fuso na huo ukubwa unaouona, inaweza kuingia nzima nzima ndani ya body ya scania.

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
 
Gari za ulaya? Gari zipi hizo za ulaya unazozipambanisha na FUSO?

Sent from my SM-J105H using JamiiForums mobile app
Fuso super great Ile mende hakuna scania especially p series inaweza kufuata
images%20(20).jpg
images%20(19).jpg
images%20(21).jpg
 
Back
Top Bottom