Habari wana Jamii,
Kuna kitu kinaendelea huku mtaani hasa kwa wafanyabiashara ya Mafuta. Last week maeneo fulani kuna baadhi ya PUMP zilikua hazina mafuta kabisa, jana nimetoka Mbeya nimekutana na hiyo kadhia Mafinga tena.
Je, ni kweli mafuta yamekua ni tatizo? Maana EWURA walikuja mbele kutauaminisha mafuta ni mengi na hakuna tatizo.
Angalizo: Isije kuwa kama sukari. Sasa sijui wanangoja bei mpya ambayo ni zaidi ya ilyopo? chukueni hatua. Hawa watu ni wajanja sana.
Kuna kitu kinaendelea huku mtaani hasa kwa wafanyabiashara ya Mafuta. Last week maeneo fulani kuna baadhi ya PUMP zilikua hazina mafuta kabisa, jana nimetoka Mbeya nimekutana na hiyo kadhia Mafinga tena.
Je, ni kweli mafuta yamekua ni tatizo? Maana EWURA walikuja mbele kutauaminisha mafuta ni mengi na hakuna tatizo.
Angalizo: Isije kuwa kama sukari. Sasa sijui wanangoja bei mpya ambayo ni zaidi ya ilyopo? chukueni hatua. Hawa watu ni wajanja sana.