mamilioni ya waliopata kikombe cha babu tupeni ushuhuda wa kupona kwenu ukimwi, ksukari,nk

fazili

JF-Expert Member
Jun 10, 2011
13,801
18,527
Ningetegemea sasa baada ya watu zaidi ya milioni 1 kupata kikombe kwa babu kuona wakifurika kwenye vyombo vya habari kutoa shuhuda, kwani najua kama wapo waliopona ukimwi na magonjwa mengine tishio wangekuwa na furaha na ujasiri mkubwa wa kutoa ushuhuda na tungeona kipindi kizima cha tv au redio ama kurasa nzima za magazeti zikitoa habari kama hizo lakini sijaona.

sasa nini kimewatokea hawa mamilioni waliokwenda kwa babu mpaka wamegeuka bubu kiasi hiki au bado wapo kwenye dozi?
 
hakuna cha kupona wala nini? Ndo kwanza siku zinapungua, labda usubiri matangazo ya vifo kwenye vyombo vya habari.
 
Ningetegemea sasa baada ya watu zaidi ya milioni 1 kupata kikombe kwa babu kuona wakifurika kwenye vyombo vya habari kutoa shuhuda, kwani najua kama wapo waliopona ukimwi na magonjwa mengine tishio wangekuwa na furaha na ujasiri mkubwa wa kutoa ushuhuda na tungeona kipindi kizima cha tv au redio ama kurasa nzima za magazeti zikitoa habari kama hizo lakini sijaona.

sasa nini kimewatokea hawa mamilioni waliokwenda kwa babu mpaka wamegeuka bubu kiasi hiki au bado wapo kwenye dozi?

Hawajageuka mabubu ndugu.Kifupi ni kwamba dawa ya babu imeleta mabadiliko makubwa sana katika kurudisha uhai wa taifa letu, yafuatayo kwa ufupi yametokana na matokeo ya dawa ya babu;
  1. Watanzania wameamshwa kupitia maandamano ya CDM na watu wengi sasa wanajua haki zao
  2. Waziri mkuu mstaafu Frederick Tluway sumaye kuisema CCM hadharani
  3. CCM kujivua gamba
  4. Kuadilika kwa kamati kuu ya CCM na secretariet yake
  5. Lowassa kuongea bungeni kwa mara ya kwanza tangu ajiuzulu wadhifa wake kwa kumsema hadharani swahiba wake kuwa ni kiongozi legelege katika kuchukua maamuzi mazito
  6. Hatimaye Rostam Azizi amekubali kuachia madaraka yake yote
  7. Kashfa ya kihistoria ya kuhongwa wabunge ili wapitishe bajeti ya wizara ya Nishati na MADINI na kukamatwa kwa barua ya kifisadi ya JAIRO ya kukusanya 1billion
  8. Kukataliwa kwa bajeti ya wizara ya Nishati na mADINI
Tafadhali orodhesha mengine yaliyotokana na dawa ya babu
 
Hawajageuka mabubu ndugu.Kifupi ni kwamba dawa ya babu imeleta mabadiliko makubwa sana katika kurudisha uhai wa taifa letu, yafuatayo kwa ufupi yametokana na matokeo ya dawa ya babu;
  1. Watanzania wameamshwa kupitia maandamano ya CDM na watu wengi sasa wanajua haki zao
  2. Waziri mkuu mstaafu Frederick Tluway sumaye kuisema CCM hadharani
  3. CCM kujivua gamba
  4. Kuadilika kwa kamati kuu ya CCM na secretariet yake
  5. Lowassa kuongea bungeni kwa mara ya kwanza tangu ajiuzulu wadhifa wake kwa kumsema hadharani swahiba wake kuwa ni kiongozi legelege katika kuchukua maamuzi mazito
  6. Hatimaye Rostam Azizi amekubali kuachia madaraka yake yote
  7. Kashfa ya kihistoria ya kuhongwa wabunge ili wapitishe bajeti ya wizara ya Nishati na MADINI na kukamatwa kwa barua ya kifisadi ya JAIRO ya kukusanya 1billion
  8. Kukataliwa kwa bajeti ya wizara ya Nishati na mADINI
Tafadhali orodhesha mengine yaliyotokana na dawa ya babu
kuna uhusiano gani na kikombe cha babu?
 
hawajageuka mabubu ndugu.kifupi ni kwamba dawa ya babu imeleta mabadiliko makubwa sana katika kurudisha uhai wa taifa letu, yafuatayo kwa ufupi yametokana na matokeo ya dawa ya babu;
  1. watanzania wameamshwa kupitia maandamano ya cdm na watu wengi sasa wanajua haki zao
  2. waziri mkuu mstaafu frederick tluway sumaye kuisema ccm hadharani
  3. ccm kujivua gamba
  4. kuadilika kwa kamati kuu ya ccm na secretariet yake
  5. lowassa kuongea bungeni kwa mara ya kwanza tangu ajiuzulu wadhifa wake kwa kumsema hadharani swahiba wake kuwa ni kiongozi legelege katika kuchukua maamuzi mazito
  6. hatimaye rostam azizi amekubali kuachia madaraka yake yote
  7. kashfa ya kihistoria ya kuhongwa wabunge ili wapitishe bajeti ya wizara ya nishati na madini na kukamatwa kwa barua ya kifisadi ya jairo ya kukusanya 1billion
  8. kukataliwa kwa bajeti ya wizara ya nishati na madini
tafadhali orodhesha mengine yaliyotokana na dawa ya babu
mgawo wa umeme usiokuwa na kikomo
 
Back
Top Bottom