Ningetegemea sasa baada ya watu zaidi ya milioni 1 kupata kikombe kwa babu kuona wakifurika kwenye vyombo vya habari kutoa shuhuda, kwani najua kama wapo waliopona ukimwi na magonjwa mengine tishio wangekuwa na furaha na ujasiri mkubwa wa kutoa ushuhuda na tungeona kipindi kizima cha tv au redio ama kurasa nzima za magazeti zikitoa habari kama hizo lakini sijaona.
sasa nini kimewatokea hawa mamilioni waliokwenda kwa babu mpaka wamegeuka bubu kiasi hiki au bado wapo kwenye dozi?
sasa nini kimewatokea hawa mamilioni waliokwenda kwa babu mpaka wamegeuka bubu kiasi hiki au bado wapo kwenye dozi?