tajirijasiri
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 2,864
- 3,851
Wanabodi,
Watumishi wengi wa Umma hawajalipwa mishahara mpaka leo tarehe 23 Desemba 2016, na sikukuu ndio hiyo tarehe 25 Desemba. Leo ni Ijumaa, na kesho sio siku ya kazi.
Mamii mbona unawafanyia hivyo?
Enzi za Yule mwenzako, tarehe kama hizi watu wanakenua tu.
Kulikoni?
Watumishi wengi wa Umma hawajalipwa mishahara mpaka leo tarehe 23 Desemba 2016, na sikukuu ndio hiyo tarehe 25 Desemba. Leo ni Ijumaa, na kesho sio siku ya kazi.
Mamii mbona unawafanyia hivyo?
Enzi za Yule mwenzako, tarehe kama hizi watu wanakenua tu.
Kulikoni?