inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 17,715
- 17,960
china wametangaza kuna mipango ya ugaidi miongoni mwa waandamanaji,waandamanaji wengine wameamua kuondoka maana wanajua kinachofuata haponi ukiukwaji mkubwa wa haki za binaadam,ffu wa china wanapiga ngumi bwana usiombeAmini usiamini,China na Russia waandamanaji watazimwa kwa kuteswa sana na wengi watapotezwa!