Mamia kupigwa picha za utupu Uingereza

Aug 23, 2015
89
43
Mamia ya watu watavua nguo zao na kupigwa picha wakiwa tupu kusherehekea utamaduni katika mji wa Hull, Uingereza. Tukio hilo litakuwa la kusherehekea mji huo kama Mji wa Utamaduni. Washiriki watapakwa rangi ya samawati Jumamosi na kisha wapigwe picha wakiwa katika maeneo mashuhuri jijini humo kama sehemu ya mradi uliopewa jina Sea of Hull.

Mradi huo unatekelezwa na mpiga picha Spencer Tunick na unadhaminiwa na taasisi ya Sanaa ya Ferens Art Gallery. Picha zitakazopigwa zitawekwa na kuoneshwa kwa umma wakati wa tamasha ya sanaa ya 2017 itakayoendelea kwa mwaka mmoja. Tunick, anayetoka New York, amewahi kufanya kazi kama hiyo kwingine.

Amewahi kupiga picha za watu wengi wakiwa uchi Sydney Opera House, Place des Arts mjini Montreal, Mexico City na mjini Munich nchini Ujerumani Germany. Bw Tunick amesema kazi zake “hugusia historia ndefu ya Sanaa ya utupu”. "Mavazi ni Sanaa ya mtu mwingine,” anasema. “Fashoni ni Sanaa.

Kwa kuondoa hilo (mavazi), nitakuwa nafanya kazi na usawa na maumbile katika umaridadi wake.” Watu karibu 2,000 wamejiandikisha kupigwa picha tangu wazo hilo litangazwe mwezi Machi. Baraza la mji wa Hull limesema baadhi ya barabara zitafungwa wakati wa shughuli hiyo Jumamosi asubuhi.

Chanzo: BBC

160331060700_tunick_bugil_640x360_afp_nocredit.jpg

Mamia ya watu watavua nguo zao na kupigwa picha wakiwa tupu kusherehekea utamaduni katika mji wa Hull, Uingereza.

Tukio hilo litakuwa la kusherehekea mji huo kama Mji wa Utamaduni.

Washiriki watapakwa rangi ya samawati Jumamosi na kisha wapigwe picha wakiwa katika maeneo mashuhuri jijini humo kama sehemu ya mradi uliopewa jina Sea of Hull.

Mradi huo unatekelezwa na mpiga picha Spencer Tunick na unadhaminiwa na taasisi ya Sanaa ya Ferens Art Gallery.

Picha zitakazopigwa zitawekwa na kuoneshwa kwa umma wakati wa tamasha ya sanaa ya 2017 itakayoendelea kwa mwaka mmoja.

Tunick, anayetoka New York, amewahi kufanya kazi kama hiyo kwingine.

Amewahi kupiga picha za watu wengi wakiwa uchi Sydney Opera House, Place des Arts mjini Montreal, Mexico City na mjini Munich nchini Ujerumani Germany.

Bw Tunick amesema kazi zake “hugusia historia ndefu ya Sanaa ya utupu”.

"Mavazi ni Sanaa ya mtu mwingine,” anasema.

“Fashoni ni Sanaa. Kwa kuondoa hilo (mavazi), nitakuwa nafanya kazi na usawa na maumbile katika umaridadi wake.”
120623141938_tunick_ring8_976x549_ap.jpg


Watu karibu 2,000 wamejiandikisha kupigwa picha tangu wazo hilo litangazwe mwezi Machi.

Baraza la mji wa Hull limesema baadhi ya barabara zitafungwa wakati wa shughuli hiyo Jumamosi asubuhi.


 
Katika habari zooote umeona hii ndio habari !!
Jitathmini na imani yako ya dini kama ipo
 
160331060700_tunick_bugil_640x360_afp_nocredit.jpg

Mamia ya watu watavua nguo zao na kupigwa picha wakiwa tupu kusherehekea utamaduni katika mji wa Hull, Uingereza.

Tukio hilo litakuwa la kusherehekea mji huo kama Mji wa Utamaduni.

Washiriki watapakwa rangi ya samawati Jumamosi na kisha wapigwe picha wakiwa katika maeneo mashuhuri jijini humo kama sehemu ya mradi uliopewa jina Sea of Hull.

Mradi huo unatekelezwa na mpiga picha Spencer Tunick na unadhaminiwa na taasisi ya Sanaa ya Ferens Art Gallery.

Picha zitakazopigwa zitawekwa na kuoneshwa kwa umma wakati wa tamasha ya sanaa ya 2017 itakayoendelea kwa mwaka mmoja.

Tunick, anayetoka New York, amewahi kufanya kazi kama hiyo kwingine.

Amewahi kupiga picha za watu wengi wakiwa uchi Sydney Opera House, Place des Arts mjini Montreal, Mexico City na mjini Munich nchini Ujerumani Germany.

Bw Tunick amesema kazi zake “hugusia historia ndefu ya Sanaa ya utupu”.

"Mavazi ni Sanaa ya mtu mwingine,” anasema.

“Fashoni ni Sanaa. Kwa kuondoa hilo (mavazi), nitakuwa nafanya kazi na usawa na maumbile katika umaridadi wake.”
120623141938_tunick_ring8_976x549_ap.jpg


Watu karibu 2,000 wamejiandikisha kupigwa picha tangu wazo hilo litangazwe mwezi Machi.

Baraza la mji wa Hull limesema baadhi ya barabara zitafungwa wakati wa shughuli hiyo Jumamosi asubuhi.
 
Jamani hizi tamaduni zingine tuziangalie na athari zake kwani Dunia ss ipo kiutandawazi kwani zamani watu wazima wakiwa watupu kulikua hakuna shida hawakujua kinachoendelea na hata walijua lkn walikua wanafanya kwa nidhamu ya hali ya juu sana enzi zile.
 
ImageUploadedByJamiiForums1467982002.753511.jpg

Tunick anasema hiyo ni sanaa halisi
Mamia ya watu watavua nguo zao na kupigwa picha wakiwa tupu kusherehekea utamaduni katika mji wa Hull, Uingereza.
Tukio hilo litakuwa la kusherehekea mji huo kama Mji wa Utamaduni.
Washiriki watapakwa rangi ya samawati Jumamosi na kisha wapigwe picha wakiwa katika maeneo mashuhuri jijini humo kama sehemu ya mradi uliopewa jina Sea of Hull.
Mradi huo unatekelezwa na mpiga picha Spencer Tunick na unadhaminiwa na taasisi ya Sanaa ya Ferens Art Gallery.
Picha zitakazopigwa zitawekwa na kuoneshwa kwa umma wakati wa tamasha ya sanaa ya 2017 itakayoendelea kwa mwaka mmoja.
Tunick, anayetoka New York, amewahi kufanya kazi kama hiyo kwingine.
Amewahi kupiga picha za watu wengi wakiwa uchi Sydney Opera House, Place des Arts mjini Montreal, Mexico City na mjini Munich nchini Ujerumani Germany.
Bw Tunick amesema kazi zake “hugusia historia ndefu ya Sanaa ya utupu”.
"Mavazi ni Sanaa ya mtu mwingine,” anasema.
“Fashoni ni Sanaa. Kwa kuondoa hilo (mavazi), nitakuwa nafanya kazi na usawa na maumbile katika umaridadi wake.”
ImageUploadedByJamiiForums1467982043.447949.jpg

Watu wakipigwa picha wakiwa uchi New York
Watu karibu 2,000 wamejiandikisha kupigwa picha tangu wazo hilo litangazwe mwezi Machi.
Baraza la mji wa Hull limesema baadhi ya barabara zitafungwa wakati wa shughuli hiyo Jumamosi asubuhi.
 
Nzuri sana hii kuchagua mchumba.. sbb hutauziwa mbuzi kwenye gunia..!!
 
Kwani kwenu huko? Waacheni watu na maisha yao so far hawajakulazimisha na wewe uvue nguo. Hapo utawasikia wale wafuga ndevu wanalalamika wakati sio kwao.
Hahaha mnapenda kuvimba na visivyo wahusu, kwani nimewazuia?
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom