johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Mameya wa Dsm wakiongozwa na Lord mayor Dsm Isaya Mwita wako jijini Arusha kwa ziara ya kubadilishana uzoefu.
Katika msafara wa meya wapo pia madiwani wa CCM ambao ni wenyeviti wa kamati.
Meya Isaya amesema katika mambo ya maendeleo itikadi inawekwa pembeni na mshikamano unazingatiwa hivyo amewaasa wana Arusha kuepuka kubaguana.
Na katika kuthibitisha anachoongea alimsimamisha diwani mmoja wa CCM asalimie, hili ni fundisho tosha kwa mbunge wa Arusha anayedhani maendeleo yana vyama na upinzani ni kupinga kila kitu.
Chanzo: Ayo tv!
Katika msafara wa meya wapo pia madiwani wa CCM ambao ni wenyeviti wa kamati.
Meya Isaya amesema katika mambo ya maendeleo itikadi inawekwa pembeni na mshikamano unazingatiwa hivyo amewaasa wana Arusha kuepuka kubaguana.
Na katika kuthibitisha anachoongea alimsimamisha diwani mmoja wa CCM asalimie, hili ni fundisho tosha kwa mbunge wa Arusha anayedhani maendeleo yana vyama na upinzani ni kupinga kila kitu.
Chanzo: Ayo tv!