OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,185
- 103,688
Taarifa ya habari TBC imeonyesha Kamanda Lazaro akijibu maswali ya waandishi wa habari kuhusu matukio ya Uchaguzi Mkuu upande wa Dar es Salaam.
Kupitia TBC Kamanda wa Polisi kanda ya DSM Lazaro Mambosasa amedai kuwa watu waliokuwa wameenda na mabegi kwenye kituo cha kupigia kura walikuwa wametoka mikoani hivyo walipanga baada ya kupiga kura warudi mikoani.
My Take: Haaa haaa Aisee
Kupitia TBC Kamanda wa Polisi kanda ya DSM Lazaro Mambosasa amedai kuwa watu waliokuwa wameenda na mabegi kwenye kituo cha kupigia kura walikuwa wametoka mikoani hivyo walipanga baada ya kupiga kura warudi mikoani.
My Take: Haaa haaa Aisee