Bad Man Tivu
JF-Expert Member
- Jan 16, 2019
- 388
- 421
Dah!!niishie hv tu
Ishu sio watz, waambie polisi wasimamie hayo maandamano uone kitakachotokeaMaandamano yamefeli tena. Tatizo muwe mnawasoma watanzania walivyo
dar ndio jiji kubwa na mambo yote huanzia hukoWanaruhusiwa ila sio kuandaa maandamano! Kura zipigwe Arusha na "ziibwe" Arusha alafu maandamano ufanyie Ubungu?
Wewe ndo hujielewi usiyejua kusoma sentensi ukaikamilisha na kugundua maana yake na sababu husika iliyobainishwa. Ukipaniki kwa kushindwa uchaguzi, pls usipaniki na huku, usijesema nako wamekuibia maneno uliyotaka kuyasema.Kuna watu hawajielewi, kwahiyo kama mimi ni mgombea Arusha mjini, siruhusiwi kwenda Dar?
Mambosasa hajakukatazeni kuondoka JF, sawa???Mwambieni HATURUDI
Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa, amewataka wagombea ubunge kutoka mikoani walioshindwa katika uchaguzi, warudi majimboni mwao kwa sababu kitendo cha kukusanyika jijini humo ni uchokozi wa dhahiri kwa wakazi wa Jiji hilo.
Sasa utajua Kama yalikuwa ya Amani ama ya vurugu, ngoja Mbowe akifika mahakamani na kisomewa mashitaka ya ugaidi akaozee jela kwa kutuma vijana wakalipue visima vya mafuta.Nchi ya ajabu sijawahi kuona, hata maandamano ya amani ambayo ni haki ya kikatiba yanazuiliwa
Sheria ipi inazuia wasiende Dar? Aache upumbavu!Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa, amewataka wagombea ubunge kutoka mikoani walioshindwa katika uchaguzi, warudi majimboni mwao kwa sababu kitendo cha kukusanyika jijini humo ni uchokozi wa dhahiri kwa wakazi wa Jiji hilo.
Hivi katiba imebadilishwa siku hizi kuhusu mahali pa mtanzania kuishi humu nchini?Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa, amewataka wagombea ubunge kutoka mikoani walioshindwa katika uchaguzi, warudi majimboni mwao kwa sababu kitendo cha kukusanyika jijini humo ni uchokozi wa dhahiri kwa wakazi wa Jiji hilo.
akaozee jela kwa kutuma vijana wakalipue visima vya mafuta.
Maandamano ya amani, ni yale ya chama fulani kujipongeza kushinda kwenye maigizo ya uchafuzi.Nchi ya ajabu sijawahi kuona, hata maandamano ya amani ambayo ni haki ya kikatiba yanazuiliwa
Jinga kweli hili lizeeKamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, SACP Lazaro Mambosasa, amewataka wagombea ubunge kutoka mikoani walioshindwa katika uchaguzi, warudi majimboni mwao kwa sababu kitendo cha kukusanyika jijini humo ni uchokozi wa dhahiri kwa wakazi wa Jiji hilo.