Wakulu MwK na Mkjj, please andaeni mambo ya live conference..... kwa video au radio...miye hata kama umeme utakatika huku Isesa, Iringa nitafanya juu chini kuwa online siku hiyo, alimradi tu nami nime patisipeti, ikibidi nitaenda pale Palokia, kuna padri mmoja ana moyo mwema sana wa kusaidia mambo ya mawasiliano...
mnaweza kuandaa Msn ID, Yahoo ID au Skype ID ambazo mtazitangaza ili watu wa mbali waweze kushiriki pia siku hiyo....
baadae
Tunaomba mlushe LIVE hilo Bashi kwa kupitia KLH news LIVE ili na sisi ambao tupo kusini ya mbali tufaidi angalau harufu tu na midundo.
Mtuwekee na mapicha tunataka kuona picha ya Jmushi1 akiwa na MWK,Nyani Ngabu na YNIM......
Mzee Geeque na Bongo Radio wataleta matangazo live.. tutaona jinsi ya kushirikiana nao.. otherwise... asiye na mwana abebe jiwe!
Nimekubali ngoma ya kitoto haikeshi, Hii basi ndiyo ya watu wazima! Next time I will show up!
Hujachelewa bado mkuu,
Unaweza kushow up anytime....
Up todate please.....au woote mmezima?
namuona Jmushi1 au yeye anatumia iphone ku loh in JF.......lakini raha ya sherehe kuzima!
Mwafrika wa Kike alituahidi picha za JMushi, Nyani, YourName, Mwanakijiji, na Fundi Mchundo ofcourse...maana naamini wote walikwenda...ulaya hakuna matatizo ya nauli au usafiri.....mimi leo sibanduki hapa kwenye internet cafe...mpaka kieleweke hizo picha nizione;-)
StevD..recovery haiwezi chukua three days bana....mbona Jmushi na FMES wako hewani tayari na hao ndo wadau huko? au ndo mamabo ya blackberry hayo?