rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
nimekuwa nikiwaza siku ccm itaondolewa madarakani na watanzania itakuwaje hasa!!!!!!
kwa kweli mimi binafsi nimechoka mno na safari ndefu ya kusafiri ni hili chama la majizi ccm
nilikuwa nikitazama yanayotokea zambia wakati majizi mengine yalipofukuzwa madarakani na wazambia
mambo yaliyotokea zambia sikuweza kuamini macho yangu
miji yote na vijiji ilikuwa ni sherehe kuimba na kulia kilio kikubwa kabisa
hapa kwetu itakuwaje????
ngoja nianze mimi!!!!
watanzania watawatafuta wale waliokuwa na madaraka kuwafanya watakacho
ofisi zote za ccm zitachomwa moto
majumba yote ya hao wezi ccm yatachukuliwa na serikali ya watanzania
mimi binafsi ninamvutia pumzi mkuu mmoja sipendi kumtaja kwa sasa,nitakachomfanyia atajuta kuzaliwa dunia hii
----------------
-----------
weka ya kwako!!!!!!!!!!!!!!!!
kwa kweli mimi binafsi nimechoka mno na safari ndefu ya kusafiri ni hili chama la majizi ccm
nilikuwa nikitazama yanayotokea zambia wakati majizi mengine yalipofukuzwa madarakani na wazambia
mambo yaliyotokea zambia sikuweza kuamini macho yangu
miji yote na vijiji ilikuwa ni sherehe kuimba na kulia kilio kikubwa kabisa
hapa kwetu itakuwaje????
ngoja nianze mimi!!!!
watanzania watawatafuta wale waliokuwa na madaraka kuwafanya watakacho
ofisi zote za ccm zitachomwa moto
majumba yote ya hao wezi ccm yatachukuliwa na serikali ya watanzania
mimi binafsi ninamvutia pumzi mkuu mmoja sipendi kumtaja kwa sasa,nitakachomfanyia atajuta kuzaliwa dunia hii
----------------
-----------
weka ya kwako!!!!!!!!!!!!!!!!