Mambo yataenda? Tasnia ya Habari na TEHAMA zimepata Mawaziri "Vijana wa Mjini"

Interest

JF-Expert Member
Apr 11, 2015
3,434
7,055
Pengine wapo watu hawaelewi maana ya teuzi za mawaziri na namna zinavyoweza kubadilisha mambo.

Ngoja niwaeleze...

Mawaziri ni influencers na watekelezaji wa sera. Sera ndizo zinazoendesha mambo mengi kama sio yote kwenye sekta mbalimbali. Hakuna linaloenda bila ya sera, hivyo sera zikiwa nzuri basi mambo yanakuwa mazuri, zikiwa mbaya ni majanga.

Kijana Innocent Bashungwa amepewa dhamana ya kuongoza wizara ya habari, utamaduni, sanaa na michezo. Sekta ya habari, sanaa na michezo imeajiri na inaendelea kuajiri vijana wengi wa kileo. Huyu kwa wenzangu na mie tunaokutana koridoz tunamjua ni kijana wa aina gani. Kwa ufupi tu ni msomi na mjanja.

Pia anajua anachotakiwa kufanya na yuko serious kwenye kupata matokeo. Hana mitazamo ya "kizee" na sio "mshamba" wala "limbukeni". Kwenye haya mabalaa ya kanuni za maudhui na unyanyasaji wa wanahabari atatufaa sana. Huko kwenye sanaa na michezo amuachie Ulega. Ndio mambo yake.

Kaka yetu Faustine Ndugulile kapewa wizara mpya na nyeti - TEHAMA. Wizara hii haikuwepo japo imehitajika kwa muda mrefu sasa. Alivyo msomi, principled na kijana wa vijana hasa huku mitandaoni, naweza hata kumuwekea dhamana kuwa atatubeba sana tu. Bahati nzuri sio mtu wa kupokea pokea maagizo kutoka juu.

Na mpaka Magufuli anawateua hawa "vichwa ngumu" maana yake kuna mambo anataka kuona yanaenda bila kujipendekeza kwake.

Kikubwa cha kuombea ni hawa vijana, watoto wa mjini, watengeneze couple ya kiutendaji. Sina shaka wakifanya hivyo mambo yataenda tu.
 
Ndugulile ni chaguo sahihi.

achape kazi kuboresha sheria ya Cyber isiwaumize Watanzania bali iwe tool ya maendeleo
 
Mimi ningependa zaidi Kama wizara zingeongozwa na wenye taaluma husika.
Mfano daktari akamate afya
Ujenzi engineer
Sheria.....lawyer
Mifugo ....veterinarian
Hii ingepunguza incidence za mawaziri kuingizwa Cha kike na wataalamu kwenye wizara husika.
Ama ninasema uongo ndugu zangu?
 
Ngoja niitunze Mahali. Hii Post yako Mkuu.

Ninahisi kuwa kuna Siku nitalazimika kuichimbua nilipoiweka ili kukumbuka 'Debe' hili!
Itunze ndugu. Nina imani kubwa na Faustine kwa sababu ya track record yake. Bashungwa alifanya vizuri pia wizara iliyopita. Ngoja tuone.
 
Ndugulile ni chaguo sahihi.

achape kazi kuboresha sheria ya Cyber isiwaumize Watanzania bali iwe tool ya maendeleo
Haya ni matarajio yetu tulio wengi, kwamba atatumia vizuri hizi sheria na atashirikisha wadau kwenye kutafuta solutions.

Lakini, tungeweka hapa changamoto za tehama na opportunities ili kama atapita basi aokote japo mawili matatu.
 
...watoto wa mjini ??? Unajua mjini wewe au unaleza mambo ya Bishanga ?
Huyo mmoja si alilikoroga hadi kutumbuliwa au ??


QUOTE="Interest, post: 37489495, member: 284027"]
Pengine wapo watu hawaelewi maana ya teuzi za mawaziri na namna zinavyoweza kubadilisha mambo.

Ngoja niwaeleze...

Mawaziri ni influencers na watekelezaji wa sera. Sera ndizo zinazoendesha mambo mengi kama sio yote kwenye sekta mbalimbali. Hakuna linaloenda bila ya sera, hivyo sera zikiwa nzuri basi mambo yanakuwa mazuri, zikiwa mbaya ni majanga.

Kijana Innocent Bashungwa amepewa dhamana ya kuongoza wizara ya habari, utamaduni, sanaa na michezo. Sekta ya habari, sanaa na michezo imeajiri na inaendelea kuajiri vijana wengi wa kileo. Huyu kwa wenzangu na mie tunaokutana koridoz tunamjua ni kijana wa aina gani. Kwa ufupi tu ni msomi na mjanja.

Pia anajua anachotakiwa kufanya na yuko serious kwenye kupata matokeo. Hana mitazamo ya "kizee" na sio "mshamba" wala "limbukeni". Kwenye haya mabalaa ya kanuni za maudhui na unyanyasaji wa wanahabari atatufaa sana. Huko kwenye sanaa na michezo amuachie Ulega. Ndio mambo yake.

Kaka yetu Faustine Ndugulile kapewa wizara mpya na nyeti - TEHAMA. Wizara hii haikuwepo japo imehitajika kwa muda mrefu sasa. Alivyo msomi, principled na kijana wa vijana hasa huku mitandaoni, naweza hata kumuwekea dhamana kuwa atatubeba sana tu. Bahati nzuri sio mtu wa kupokea pokea maagizo kutoka juu.

Na mpaka Magufuli anawateua hawa "vichwa ngumu" maana yake kuna mambo anataka kuona yanaenda bila kujipendekeza kwake.

Kikubwa cha kuombea ni hawa vijana, watoto wa mjini, watengeneze couple ya kiutendaji. Sina shaka wakifanya hivyo mambo yataenda tu.
[/QUOTE]
 
...watoto wa mjini ??? Unajua mjini wewe au unaleza mambo ya Bishanga ?
Huyo mmoja si alilikoroga hadi kutumbuliwa au ??




Ngoja niwaeleze...

Mawaziri ni influencers na watekelezaji wa sera. Sera ndizo zinazoendesha mambo mengi kama sio yote kwenye sekta mbalimbali. Hakuna linaloenda bila ya sera, hivyo sera zikiwa nzuri basi mambo yanakuwa mazuri, zikiwa mbaya ni majanga.

Kijana Innocent Bashungwa amepewa dhamana ya kuongoza wizara ya habari, utamaduni, sanaa na michezo. Sekta ya habari, sanaa na michezo imeajiri na inaendelea kuajiri v
QUOTE="Interest, post: 37489495, member: 284027"]

Pengine wapo watu hawaelewi maana ya teuzi za mawaziri na namna zinavyoweza kubadilisha mambo.


ijana wengi wa kileo. Huyu kwa wenzangu na mie tunaokutana koridoz tunamjua ni kijana wa aina gani. Kwa ufupi tu ni msomi na mjanja.

Pia anajua anachotakiwa kufanya na yuko serious kwenye kupata matokeo. Hana mitazamo ya "kizee" na sio "mshamba" wala "limbukeni". Kwenye haya mabalaa ya kanuni za maudhui na unyanyasaji wa wanahabari atatufaa sana. Huko kwenye sanaa na michezo amuachie Ulega. Ndio mambo yake.

Kaka yetu Faustine Ndugulile kapewa wizara mpya na nyeti - TEHAMA. Wizara hii haikuwepo japo imehitajika kwa muda mrefu sasa. Alivyo msomi, principled na kijana wa vijana hasa huku mitandaoni, naweza hata kumuwekea dhamana kuwa atatubeba sana tu. Bahati nzuri sio mtu wa kupokea pokea maagizo kutoka juu.

Na mpaka Magufuli anawateua hawa "vichwa ngumu" maana yake kuna mambo anataka kuona yanaenda bila kujipendekeza kwake.

Kikubwa cha kuombea ni hawa vijana, watoto wa mjini, watengeneze couple ya kiutendaji. Sina shaka wakifanya hivyo mambo yataenda tu.

Kuna uwezekano mkubwa sababu iliyopeleka atumbuliwe, ndio imesababisha ateuliwe tena na kupewa wizara mpya - INTEGRITY.
 
Mimi ningependa zaidi Kama wizara zingeongozwa na wenye taaluma husika.
Mfano daktari akamate afya
Ujenzi engineer
Sheria.....lawyer
Mifugo ....veterinarian
Hii ingepunguza incidence za mawaziri kuingizwa Cha kike na wataalamu kwenye wizara husika.
Ama ninasema uongo ndugu zangu?
Makatibu wakuu wapo. Qualified personnel
 
Ndugulile ahakikishe wizara yake inasaidia watu wanaojiajiri kupitia mitandao na siyo wawe wakwamishaji. Kusipokuwa na urasimu internet inaweza ajiri watu wengi kuliko serikali. Au naongopa ndugu zangu?
 
Back
Top Bottom