Mambo yanayoikabili Serikali ya Rais Samia ambayo yasipotafutiwa ufumbuzi wa haraka yataiweka pabaya

Babe la mji

JF-Expert Member
Dec 14, 2019
982
2,051
  • Bei ya mafuta ya petrol kupanda hadi kuvunja rekodi ya tangu tupate uhuru, leo hii kwa Dar ni sh 2510 kwa lita.
  • Mgao wa umeme
  • Mgao wa maji
  • Kipanda kwa vifaa vya ujenzi
  • Gharama za maisha Kupanda maladufu eg, sabuni, mafuta ya kula nk
  • Maisha magumu
  • Mgogoro wa kisiasa hasa swala la Mbowe na Rais kuvunja katiba ya nchi kwa kuzuia mikitano ya kisiasa wakati ipo kwa mujibu wa katiba
  • Swala la katiba mpya
  • Gesi Kipanda bei
Kwa hali hii serikali Ina wajibu wa kilekebisha haya maswala ili wananchi tupate ahueni ya maisha.

Pia kunatakiwa kuwe na maridhiano ya kitaifa ili tuwe na umoja kama Taifa moja. Kuendelea kulumbana na kutunishiana misuli sio Suluhu kwa umoja wa nchi yetu.

Pia nawaomba viongozi wa dini zote kupitia taasisi zao kama vile Bakwata na TEC nk mmshauri Rais juu ya kukutana na vyama vyote vya kisiasa ili tupate majawabu ya mkwamo wa kisiasa uliopo nchini.

Tanzania ni ya Watanzania wote wenye vyama na wasio na vyama hivo basi kama tunaipenda nchi yetu basi tunatakiwa kuwa wamoja bila kibaguana hasa kufata katiba. Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu.

MUNGU IBARIKI TANZANIA
 
Watanzania mlisema mnataka uhuru wa kutoa maoni na kufunguliwa kwa mitandao ya kijamii (Twitter/Instagram), serikali ya mama imewasikiliza na imetekeleza, hayo mengine ya nini tena jamani?
 
Kwa serikali ya CCM usitarajie jambo la maana kufanyika. Bussness as usual
 
Watanzania mlisema mnataka uhuru wa kutoa maoni na kufunguliwa kwa mitandao ya kijamii (Twitter/Instagram), serikali ya mama imewasikiliza na imetekeleza, hayo mengine ya nini tena jamani???
Hayo mna njaa nyie wanaccm mnaotegemea mabwana huko. Sisi wananchi chama chenu hakijawahi kuwa msaada kwetu.
 
Mgao wa umeme hakuna kwasasa na hawakuwa na sababu za maana kuanza kututisha kuwa maji hamna wakati Mtera tu ilikuwa na uwezo wakuzalisha Megawati 80 kwa miezi 7 ata wasipopata mvua na hawakuambiwa kama hakutokuwa na mvua ila waliambiwa zitachelewa sa sijui walikuwa na agenda gani mpaka tuanze kutishana sijui ukame sijui nn kelele kibao.
 
Commodity prices siyo suala ambalo kuna
.Bei ya mafuta ya petrol kupanda hadi kuvunja rekodi ya tangu tupate uhuru,Leo hii kwa dar ni sh 2510 kwa lita.
.Mgao wa umeme
.Mgao wa maji
.Kipanda kwa vifaa vya ujenzi
.Ghalama za maisha Kupanda maladufu eg,sabuni,mafuta ya kula nk
.Maisha magumu
.Mgogoro wa kisiasa hasa swala la Mbowe na Rais kuvunja katiba ya Nchi kwa Kuzuia mikitano ya kisiasa wakati ipo kwa mujibu wa katiba
.Swala la katiba mpya
.Gesi Kipanda Bei

Kwa hali hii serikali Ina wajibu wa kilekebisha haya maswala ili wananchi tupate ahueni ya maisha .
Pia kunatakiwa kuwe na maridhiano ya kitaifa ili tuwe na umoja kama Taifa moja.Kuendelea kulumbana na kutunishiana misuli sio Suluhu kwa umoja wa nchi yetu.
Pia nawaomba viongozi wa dini Zote kupitia taasisi zao kama vile Bakwata na TEC nk mmshauri Rais juu ya kukutana na vyama vyote vya kisiasa ili tupate majawabu ya mkwamo wa kisiasa uliopo nchini.

Tanzania ni ya Watanzania wote wenye vyama na wasio na vyama hivo basi kama tunaipenda nchi yetu basi tunatakiwa kuwa wamoja bila kibaguana hasa kufata katiba .Umoja ni nguvu na utengano ni udhaifu.
MUNGU IBARIKI TANZANIA.


Sent using Jamii Forums mobile app
Commodity prices nchi zote duniani kuna kushuka na kupanda. Serikali haina a sigle buttom ya ku- press na kumaliza matatizo hayo kwa pamoja. Mfano suala la mafuta is a global phenomenal, nchi inaweza tu kupunguza baathi ya kodi, tozo, au ku- source mafuta toka kwa wazalishaji kwa makubaliano maalumu. Tumeaminishwa yote haya yamefanyika ila bado unafuu haujaonekana

Bei ya vyakula- kwa vinavyozalishwa nchini lazima bei itapanda, mafuta yakishapanda. Pia, kuna suala la msimu. Msimu wa mavuno mara nyingi ni kuanzia July- Mpaka October. Wakati wa mavuno mengi serikali inaweza ku- intervene na kununua surplus ambapo wakati kama huu kinatolewa kwa bei nafuu

Maji na Umeme- Kuna shida kubwa sana kwenye conservation of water sources kwenye nchi yetu. Hatua moja kubwa iliwahi kuchukuliwa na awamu ya nne ni kuwatoa wafugaji bonde la Ihefu na nafikiri there were some notable changes. Vinginevyo juhudu za kutunza mito, chemchem, swamps, ni ndogo sana. Vyanzo hivi viko constant tena uwezo wake unapungua kwa sababu ya mabadiliko ya hali ya nchi. Population pressure ni kubwa sana kwenye vyanzo hivi, watu wanaongezeka sana na mahitaji ya maji yanaongezeka sana. JUHUDI ZA UHIFADHI ZINATAKIWA KUWA MARA TANO YA ZINAZOFANYIKA SASA HIVI., ni lazima tufanye jambo la ziada, juhudi zilizopo hazitoshi
 

Similar Discussions

1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom