Mambo yanapoharibika.

Ndibalema

JF-Expert Member
Apr 26, 2008
10,956
4,647
Usiombe yakukute....
attachment.php
 

Attachments

  • ooops.jpg
    ooops.jpg
    13.7 KB · Views: 1,167
Ooh ghoosh!...Staili ya bata! Nilishashuhudia ishu kama hii wakati nasafiri kwa basi. Dada mmoja ilimtokea kama hivyo. Nikikumbuka tukio hilo najisikia sad.
Huwa nasema kama nasafiri umbali mrefu kwa usafiri wa basi nikianza kujisikia dalili za tumbo la ku-bata bata bora nishukie njiani nitafute lodge nipumzike kuliko kupata aibu!
Halafu ushauri wa bure: Kama unasafiri umbali mrefu kuwa makini na aina ya vyakula unavyokula njiani! Na siku moja kabla ya safari usile chakula kitakachokuletea matatizo njiani!
 
Aisee!
Kwanini asiende toilet mbona yuko mtaani anadunda na "Pimajoto" yake?
 
Ooh ghoosh!...Staili ya bata! Nilishashuhudia ishu kama hii wakati nasafiri kwa basi. Dada mmoja ilimtokea kama hivyo. Nikikumbuka tukio hilo najisikia sad.
Huwa nasema kama nasafiri umbali mrefu kwa usafiri wa basi nikianza kujisikia dalili za tumbo la ku-bata bata bora nishukie njiani nitafute lodge nipumzike kuliko kupata aibu!
Halafu ushauri wa bure: Kama unasafiri umbali mrefu kuwa makini na aina ya vyakula unavyokula njiani! Na siku moja kabla ya safari usile chakula kitakachokuletea matatizo njiani!

You re woman...? Ooops
 
Masikini aibuuu...

Bora ingekuwa aibu hii ni fedhehaa, haja kubwa na ndogo huwa ni za siri na huwa mtu anapata kwa wakati wake, inapotokea hadharani huwa ni fedheha. Pata picha umebanwa na mkojo huna hata pa kujisetiri yaani hamna, bora wanaume wanapiga magoti hata hadharani anafungua zipu tuu aungo yake hayaonekani.
Sie akina dada ndo issue hasa ukutwe umevaa suruali au kimini kama hiko maungo yote wazi. Hii ni fedheha kwa kweli maana hata mwanaume inaweza kumtokea.
Huwa sipendi hali ambayo unakuta mtu kaenda chooni kujisaidia baada ya kujisafisha na maji anavaa nguo zake kisha anakaa kabla yale maji hayajakauka akiinuka unaona alama matakoni za maji yaani huwa sipendi kabisa.
Wakati nasoma A level shule moja ya serikali miaka hiyo ilikuwa matata sana kuna ticha mmoja aliingia darasani na mikogo kumbe katoka chooni na suruali yake matakoni imelowa maji yeye hakujua, ile amegeuka ubaoni tuu kuandika GEOGRAPHY, darasa zima tukacheka kwa nguvu akageuka kuuliza kwa kizungu, ''what is the problem''? Mvulana mmoja akamjibu Sir, ''your back is wet''. Darasa zima tulizidi kucheka kwa nguvu sasa ticha yule alikuwa anajipenda sana, sasa asitoke nje akajikague pembeni akageuka kujiangalia matakoni na kuvuta suruali kwa mbele akiwa mulemule darasani, huku wanafunzi tukazidi kucheka nakumbuka kuna mwanafunzi mmoja darasani hadi na yeye mkojo ukamtoka kwa kucheka. Nikikumbuka hili tukio huwa nacheka sana na siku hiyo hatukusoma tena Geography kipindi kiliishia hapo.
Back to the topic hiyo ni kama ajali na inawea kumpata yeyote popote alipo, kwa wanawake au wadada ni kosa kutembea bila khanga, je wanaume wakipatwa na shida kama hii wanfanyaje? wantakiwa kutembea na misuli? heheheheee just thinking aloud looh
 
Tatizo la uharo kila unapokikaribia choo ndivyo inavyozidi kuwa ngumu kuzuia. Aibu tupu mrembo kuwa namna hiyo.
 
Alikula nini mpaka tumbo limechafuka
bila breki yaani hii ni bonge la aibu!!!
Yamekuja bila hodi maana uharoo ni
hatari huwa haugongi hodi.
 
Mkuu umeharibu lunch yangu kabisa bora nisingefungua uzi huu saa hii.

Na haka katabia kao ka kuvaa tule tukamba ndiyo inawatokea puani, mchuzi na minofu nofu inadondoka bila kizuizi, bora wakati ule walipokuwa wanavaa zile chupi kubwa zilikuwa zinasaidia kuyazuia mabo mpaka utakapo fika chooni.
 
Haya ni moja ya madhara ya kutoa Kabaang, ona sasa sphincter muscles zote zimeachia, maji kupwa maji kujaa pwaaaaaaaaaaa.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom