Mambo ya Wikilink

The Planner

JF-Expert Member
Dec 1, 2010
357
118
Najaribu kufikiria sakata zima la wikilink jinsi linavyoendeshwa and then nalinganisha na mfumo wetu wa dola ulivyo hapa kwetu and then najaribu kulink na demokrasia. Assange ambaye ni mmiliki wa huo mtandao pamoja na kudaiwa kumiliki kinyume cha sheria classified documents za USA, Bado anakula GOOD time pale UK, polisi wanataarifa za mahali alipo lakini hawawezi kumkamata bila Arrest Warant kutoka kwao, Sio Mchezo! Huyu jamaa laiti kama angalikuwa TZ, mida hii angekuwa Segerea anauguza maumivu ya virungu vya FFU, Hebu tujadili demokrasia na utendaji wa vyombo vyetu vya usalama hapa
 
Kuna mambo makubwa,tuna mfumo dhaifu wa kiintelijensia.Nimeangalia wasifu wa wanadiplomasia wa Marekani TZ pamoja na Balozi wa Marekani hapa,but still kuna kazi special amepewa kuja kuifanya TZ....nashangaa viongozi wetu hawshtuki tu muda wote.Wajiulize kwa nini Hugo Chavez alikataa kupokea credential Letter ya baloz wa marekani Carcas,Venezuela!
 
Najaribu kufikiria sakata zima la wikilink jinsi linavyoendeshwa and then nalinganisha na mfumo wetu wa dola ulivyo hapa kwetu and then najaribu kulink na demokrasia. Assange ambaye ni mmiliki wa huo mtandao pamoja na kudaiwa kumiliki kinyume cha sheria classified documents za USA, Bado anakula GOOD time pale UK, polisi wanataarifa za mahali alipo lakini hawawezi kumkamata bila Arrest Warant kutoka kwao, Sio Mchezo! Huyu jamaa laiti kama angalikuwa TZ, mida hii angekuwa Segerea anauguza maumivu ya virungu vya FFU, Hebu tujadili demokrasia na utendaji wa vyombo vyetu vya usalama hapa

Habari nzuri lakini jaribu ku-proofread kabla ya kuposti...
 
Mimi sishangai sana

hivi hujui kuwa mitandao ya Net KWA BONGO ndiyo iliyofumua masuala ya EPA,RICHMOND NK

Ila tatizo ni kuwa mtandao huo umefumua mambo ya wakubwa wa dunia(USA) hivyo lazima tuone kioja

Sisi tanzania tulianza zamani
 
Najaribu kufikiria sakata zima la wikilink jinsi linavyoendeshwa and then nalinganisha na mfumo wetu wa dola ulivyo hapa kwetu and then najaribu kulink na demokrasia. Assange ambaye ni mmiliki wa huo mtandao pamoja na kudaiwa kumiliki kinyume cha sheria classified documents za USA, Bado anakula GOOD time pale UK, polisi wanataarifa za mahali alipo lakini hawawezi kumkamata bila Arrest Warant kutoka kwao, Sio Mchezo! Huyu jamaa laiti kama angalikuwa TZ, mida hii angekuwa Segerea anauguza maumivu ya virungu vya FFU, Hebu tujadili demokrasia na utendaji wa vyombo vyetu vya usalama hapa

Mkuu Demokrasia kwa nchi nyingi za Afrika sio Tanzania tu, ipo kwa kiwango kidogo sana tena labda kwa kulazimishwa na Mataifa makubwa. Afrika ni sehemu ambayo mwenye pesa au madaraka/mamlaka anaweza fanya chochote anachotaka kwa maskini/asiye na madaraka. Hii ni kwa sababu wengi wa viongozi waliopo madarakani barani Afrika wapo kwa ajili ya maslahi yao tu! hakuna kingine! (ubinafsi uliokithiri!) kwa hiyo wapo tayari kufanya lolote kulinda maslahi yao. Si umecheki mwenyewe nn kinaendelea Ivory Coast!. THIS IS AFRIKA!
 
Ni kweli mkuu angekuwa Mtanzania angekuwa kashafutiliwa mbali. Mkumbuke Mtz aliyedaiwa kumiliki ZE UTAMU ilisemekana alikamatwa lakini mpaka kesho hakuna taarifa sahihi na yuko wapi washamfuta labda, ambapo mtaalamu kama huyo alipaswa atumike na watu wetu wa intelligencia kwa manufaa ya taifa lakini wao nafikiri walinyongelea mbali ilihari hawana wataalamu kama jamaa.

Najaribu kufikiria sakata zima la wikilink jinsi linavyoendeshwa and then nalinganisha na mfumo wetu wa dola ulivyo hapa kwetu and then najaribu kulink na demokrasia. Assange ambaye ni mmiliki wa huo mtandao pamoja na kudaiwa kumiliki kinyume cha sheria classified documents za USA, Bado anakula GOOD time pale UK, polisi wanataarifa za mahali alipo lakini hawawezi kumkamata bila Arrest Warant kutoka kwao, Sio Mchezo! Huyu jamaa laiti kama angalikuwa TZ, mida hii angekuwa Segerea anauguza maumivu ya virungu vya FFU, Hebu tujadili demokrasia na utendaji wa vyombo vyetu vya usalama hapa
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom