Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swali langu, je kuna ubaya au uzuri kuwasiliana na Ex-boyfriend/Ex-girlfriend wako kwa nia njema wakati tayari ukiwa kwenye Ndoa?
Toa Maoni yako
Swali langu, je kuna ubaya au uzuri kuwasiliana na Ex-boyfriend/Ex-girlfriend wako kwa nia njema wakati tayari ukiwa kwenye Ndoa?
Toa Maoni yako
[/COLOR]1215217]Aaagh jamani wajua tena hatukuachana kwa ubaya na hata hivyo my ex- sio mbaya kwa kila kitu ni sababu tuu za kimiundombinu ndio zilipelekea tuachane mi sioni ubaya na hata akitaka nimpe vitu tena nampa kama ye ni mkali na ndie ananifikisha kwa nini tusiwasiliane..... na isitoshe true love never die
mawasiliano ya nia njema?kwa kipimo kip?
achen utan jaman
km unataka past we nenda tu km upo na miimi kuwa na mimi
mawasiliano juu ya nin?ungekufa suppose izo shda zake angemwambia nan?
ur the only pbm solver to her/him bila wewe maisha hayaend kwake?
hakuna lolote apo ....wakiwasiliana siku 1 mbili basi wanachekeana tu..jamaan wewe lakin....jaman wew yan nkikumbuka ...sjawai pata mwngne tena anaenifanyia km vile yan..ingawa umeolewa lakn aman na moyo wangu upo kwako .....bibie anajibu et eennh???..apo tena venue inatafutwa fasta wanaenda kuchanjana uko......ahhh mi stak
km kuna ulichosahahu nenda mazima mpango wa kujifanya unapenda sana historia stak mie!!!!!!!!