Lucchese DeCavalcante
JF-Expert Member
- Jan 10, 2009
- 5,471
- 734
endelea baba mi nasafisha tu macho leo......
huyo dada anapakaga powder gani huko usoni jamani, au ni kitu gani?
Hiki kijiwe naona unakipenda sana mkuu vp kuna bia za promo nn?
hahaaaaaaaaaaaaaaaaa dearest huyo achana naye, yaani after all these years amekuwa mjini hajifunzi tu?????????
kumbe anakujaga sebuleni kwangu eeh ntamvizia nimwambie laivu......
Tena huwa kuna mastaa kibao na totoz za nguvu za mujini hasa Ijumaa na J'mosiHeee kumbe Mzalendo huwa kunakucha hivi? Itabidi nijimuvuzishe weekend ijayo!
utakuwa umemsaidia sana.....
kama vile nakufananisha na huyo mwenye kipens cha jinsi ni wewe nini shem?aaah sio beer ni wine za overmeer
kama vile nakufananisha na huyo mwenye kipens cha jinsi ni wewe nini shem?
Lakini dearest response itakuwa chanya?? asije akanigeuzia wikend yangu ikawa chungu kumbe mwenzie nataka nimsaidie tu.......
hapo sasa, na sie wanawake mambo ye2 magumu sana, anaweza akaharibu kabisaaa kabisaa.
Tena huwa kuna mastaa kibao na totoz za nguvu za mujini hasa Ijumaa na J'mosi
hapo umeua shem langu duh hii salamu nishaisahau kabisa,hivi bado inatumika?wanaitikiaje vile?hiyo mzalendo pub sijui nafikiri labda iko mbezi beach shem au nimekosea maana na mimi mgeni hapo mjini.shikamoo shem!!!!
Jiangalie we shem, mi siendagi huko nilikuwa natania tu........
Wewe mtaalamu wa viwanja nielekeze mzalendo ni wapi tena??
hapo umeua shem langu duh hii salamu nishaisahau kabisa,hivi bado inatumika?wanaitikiaje vile?hiyo mzalendo pub sijui nafikiri labda iko mbezi beach shem au nimekosea maana na mimi mgeni hapo mjini.