philipo njovu
Senior Member
- Dec 30, 2016
- 173
- 107
Mimi kama kijana nimefungua biashara yangu binafsi na nimeweza kupata fremu na sikosi vijisent japo mtaji wangu sio mkubwa sana ila nina dhamira ya kukuza biashara ata baadae nitoe fursa kwa vijana wenzangu.
Lakini ma mdogo alinifata akaniambia kuwa mwanangu jilinde, upate kinga ya biashara yako ila mimi nina moyo wa kujiamini ila naona wengi hujikinga.
Je, ni sawa kweli mimi kama kijana kuwa na imani hiyo?
Lakini ma mdogo alinifata akaniambia kuwa mwanangu jilinde, upate kinga ya biashara yako ila mimi nina moyo wa kujiamini ila naona wengi hujikinga.
Je, ni sawa kweli mimi kama kijana kuwa na imani hiyo?