Mambo ya kuzingatia katika kuchagua mwenza wa maisha

Kijana usihangaike kuuzunguka mbuyu. Jiangalie wewe jinsi ulivyo ukiwa peke yako na wakati ukiwa na mwenza wako halafu angalia utofauti wa uhalisia wako katika hali hizo mbili. Kama unajiona almost upo vilevile na lifestyle yako halisi mnapokuwa wawili basi huyo ndiye anayekufaa maishani. Live as who you are.
 
It seems like a bit too late for me to work it out,oo bro am trapped,too late for me, trying to move my feet without making any noise, at first it was like I can't feel the heat inside of him,but now the picture is so clearly with its reality I HATE HIM so much,but there's no way out at this particular time,locked in with the chains of gold!! My proud is now turned to grief,wish you were there when the bomb was still tickin. Sina ujanja mkuu.
 
It seems like a bit too late for me to work it out,oo bro am trapped,too late for me, trying to move my feet without making any noise, at first it was like I can't feel the heat inside of him,but now the picture is so clearly with its reality I HATE HIM so much,but there's no way out at this particular time,locked in with the chains of gold!! My proud is now turned to grief,wish you were there when the bomb was still tickin. Sina ujanja mkuu.

usikate tamaa. There is always a way. jipe moyo ipo siku yatakwisha kwani hakuna marefu yasiyo na ncha na dawa ya ugonjwa siku zote ni kuutibu na ili uweze kuutibu lazima ujue chanzo cha ugonjwa. I'm willing to help you in this kama utakuwa mkweli na muwazi kwangu. We can talk about this. Just PM me so that we can talk about this.
 
kijana usihangaike kuuzunguka mbuyu. Jiangalie wewe jinsi ulivyo ukiwa peke yako na wakati ukiwa na mwenza wako halafu angalia utofauti wa uhalisia wako katika hali hizo mbili. Kama unajiona almost upo vilevile na lifestyle yako halisi mnapokuwa wawili basi huyo ndiye anayekufaa maishani. Live as who you are.

Na unadhani hicho ndio kigezo cha msingi cha kuchagua mwenzi wa maisha?
 
kijana usihangaike kuuzunguka mbuyu. Jiangalie wewe jinsi ulivyo ukiwa peke yako na wakati ukiwa na mwenza wako halafu angalia utofauti wa uhalisia wako katika hali hizo mbili. Kama unajiona almost upo vilevile na lifestyle yako halisi mnapokuwa wawili basi huyo ndiye anayekufaa maishani. Live as who you are.

Atleast umeonyesha uhalisia wa thread yenyewe maana maelezo ya muanzishaji bado ni mepesi sana na bado yanaelea hewani na isitoshe baadhi ya comments zake jinsi ya kuchunguza not applicable to some situations.

Asante mkuu kwa simple test ambayo mtu anajipima na inakupa picha ya kweli.
 
Mie hayo macho yako tu. Ttatzo mdogo kwangu na mie sivifagilii viserengeti, ningeshakutokea siku nyingi lol
 
Na je, endapo niko kwenye ndoa na pengine pengine tumebhatika kupata mtoto mmoja ama wawili. Nimeishi na huyo mwanamke nikaona hafundishiki,hapendi ndugu pamoja na wazazi wako,marafiki zako hapendi hata kuwasikia. Nini mapendekezo yako?
 
Atleast umeonyesha uhalisia wa thread yenyewe maana maelezo ya muanzishaji bado ni mepesi sana na bado yanaelea hewani na isitoshe baadhi ya comments zake jinsi ya kuchunguza not applicable to some situations.

Asante mkuu kwa simple test ambayo mtu anajipima na inakupa picha ya kweli.

mkuu ndio ukweli halisi huu, unajua watu wengi huwa wanashindwa kuitambua hii siri na matokeo yake ni ndoa ndoano. Ishi maisha yanayokupendeza mwenyewe na si maisha ya kumfurahisha fulani
 
Na je,endapo niko kwenye ndoa na pengine pengine tumebhatika kupata mtoto mmoja ama wawili. Nimeishi na huyo mwanamke nikaona hafundishiki,hapendi ndugu pamoja na wazazi wako,marafiki zako hapendi hata kuwasikia. Nini mapendekezo yako?

Matatizo kama hayo yanahitaji ushauri wa kitaalamu na wala hayahitaji kukurupuka ikiwezekana ni vyema wote wawili mumtafute mtaalamu wa ushauri na nasaha yoyote sio lazima niwe mimi, mkae chini muongee na kuwa wawazi bila kificha kitu na nina uhakika matatizo yenu yatatatulika. hakuna arefu yasiyokuwa na ncha kaka.
 
mie hayo macho yako tu............................tatzo mdogo kwangu na mie sivifagilii viserengeti,ningeshakutokea siku nyingi lol

Mhmmm!!! Too bad. Hujui uhondo unaoukosa. Ha haaaa just kidding.
 
Mkuu ndio ukweli halisi huu, unajua watu wengi huwa wanashindwa kuitambua hii siri na matokeo yake ni ndoa ndoano. Ishi maisha yanayokupendeza mwenyewe na si maisha ya kumfurahisha fulani

Mkuu nadhani hatujaelewana. Hivi kuna mahali ambapo nimeandika kuwa mtu anapaswa kuishi maisha ya kumpendeza mtu flani? Embu soma kwa makini na utafakari kabla ya kutoa maoni yako. Be a great thinker.
 
Mkuu nadhani hatujaelewana. Hivi kuna mahali ambapo nimeandika kuwa mtu anapaswa kuishi maisha ya kumpendeza mtu flani? Embu soma kwa makini na utafakari kabla ya kutoa maoni yako. Be a great thinker.

umeshindwa kuconnect dots. it's response to SaidAlly tumeelewana na huyo ndugu tunachokizungumzia. over
 
Bro. big up but napenda kutoa angalizo ilo tu litawezekana kama utamshilirikisha mungu kwani yeye ndo anajua hatima yetu.
 
bro big up but napenda kutoa angalizo ilo tu litawezekana kama utamshilirikisha mungu kwani yeye ndo anajua hatima yetu

Yep. Ni kweli kabisa mkuu. Ni vyema kumshikirisha Mungu ili aweze kukusimamia katika kuchagua mwenzi wa maisha maana wakati mwingine mapenzi yanaweza kutufunga macho tusione ukweli.
 

Similar Discussions

34 Reactions
Reply
Back
Top Bottom