Natumai hamjambo wanajamvi.
Wakuu kunako harakati za kuchepuka tunakutana na mambo mengi ya kustaajabisha hivo nikaona nianzishe uzi wa kushare baadhi ya mambo hayo...
Kwa upande wangu nimekutana na mengi bt nilistaajabu zaidi nilipokua nachepuka na dada mmoja wa kilokole, huyu dada alikua akipiga maombi sana kabla na baada ya gegedo...
Nilimwambia kuchepuka ni dhambi iweje afanye maombi? alijibu kutenda dhambi ni udhaifu wa mwanadam bt sio sababu ya kuacha kumtumainia Mungu, sikuwa na lakusema bt nilibaki nastaajabu tu kwa majibu yale.
Karibu nawe kushare tukio la kustaajabisha ulokutana nalo kwenye harakati za kuchepuka.
Wakuu kunako harakati za kuchepuka tunakutana na mambo mengi ya kustaajabisha hivo nikaona nianzishe uzi wa kushare baadhi ya mambo hayo...
Kwa upande wangu nimekutana na mengi bt nilistaajabu zaidi nilipokua nachepuka na dada mmoja wa kilokole, huyu dada alikua akipiga maombi sana kabla na baada ya gegedo...
Nilimwambia kuchepuka ni dhambi iweje afanye maombi? alijibu kutenda dhambi ni udhaifu wa mwanadam bt sio sababu ya kuacha kumtumainia Mungu, sikuwa na lakusema bt nilibaki nastaajabu tu kwa majibu yale.
Karibu nawe kushare tukio la kustaajabisha ulokutana nalo kwenye harakati za kuchepuka.