ushauri mzuri sana Yan nimechoka na haya majaribuTumia hela ulizokuwa unataka kumuonga, kujiburudisha. Nenda kwenye bonge la hotel, Pumzika. Tafuta sehemu nzuri (strategic) ambayo unaona watu wate ama wanaoingia au wanaofurahia maisha, kaa hapo. Agiza vyako huku kwa mbali ukitafakari yaliyokukuta. Mlinganishe aliyekumwaga, na hao waliopo hapo. Ukiona kuna wazuri weeeeeeeeeeeeeeengi kuliko yeye, mpuuzie uku ukijiaminisha kuwa kuna siku utampata bomba kulio yeye.
Asante mkuuJiepushe kukaa mwenyewe, jichanganye na watu hakika ndani ya mwezi tu utasahau
Inasaidia sana kuwa busy kujichosha usijipe muda mwingi wa kukaa mwenyewe piga kaziitabid nianze hiyo
Sawa mkuuInasaidia sana kuwa busy kujichosha usijipe muda mwingi wa kukaa mwenyewe piga kazi