Mambo ya kikuku kinaashiria nini??

Lucchese DeCavalcante

JF-Expert Member
Jan 10, 2009
5,471
733
kikuku.jpg hebu_ona.jpg
 
Kwa zamani ilikuwa inategemea ipo mguu gani .....na mostly hiyo illikuwa zamani siku hizi ni urembo zaidi....Hence usiende huko kwenye kwenye dunia ya leo ukamvaa binti na wazo hilo la tigo etc....
 
2 in 1 wakuu maana yake :nono:
Conquest-asali ailambwi mara moja.
 
.........wanaseme eti TIGO ruksa.

hakuna kitu kama hicho huu ni urembo tu na kama ukifuatilia mila na tamaduni mbalimbali wanavaa ni design tu zimepishana na ni urembo zaidi lakini miaka ya kati hapo wajuaji wa tanzania wakaanza kumaanisha hivyo sisi ni maarufu wa kuharibu asili ya vitu.na kwanini watu wengi wamejawa na fikra za kizinzi tu muda wote>?kwanini usifikirie labda hii ni mila ya kabila gani au originality?i hope mtoa thread hakumaanisha huku watu wanakojibu:A S angry:
 
hakuna kitu kama hicho huu ni urembo tu na kama ukifuatilia mila na tamaduni mbalimbali wanavaa ni design tu zimepishana na ni urembo zaidi lakini miaka ya kati hapo wajuaji wa tanzania wakaanza kumaanisha hivyo sisi ni maarufu wa kuharibu asili ya vitu.na kwanini watu wengi wamejawa na fikra za kizinzi tu muda wote>?kwanini usifikirie labda hii ni mila ya kabila gani au originality?i hope mtoa thread hakumaanisha huku watu wanakojibu:A S angry:

Lisemwalo lipo ................... ??????
Pole kwa usumbufu bibie.....
 
Back
Top Bottom