Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,702
- 36,124
Habari WanaJamiiForums
Ni saa 19:00 ninapita maeneo haya nakutana na giza kuu. Nimeshangazwa sana na huu urasimu.
Mganga mkuu wa hospital hii na team yako sisi wananchi tunahitaji majibu. Fedha za rudhuku mnazopokea kazi yake nini?
Fedha wamazochangia wananchi kazi yake nini?
Majibu au mtumbuliwe!
Ni saa 19:00 ninapita maeneo haya nakutana na giza kuu. Nimeshangazwa sana na huu urasimu.
Mganga mkuu wa hospital hii na team yako sisi wananchi tunahitaji majibu. Fedha za rudhuku mnazopokea kazi yake nini?
Fedha wamazochangia wananchi kazi yake nini?
Majibu au mtumbuliwe!