Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,406
- Thread starter
- #21
Gobolee hahahah sipati picha kelele za wanafunziMimi nilipokuwa darasa la 3 nilikwenda shuleni na ulanzi au ulasi watu wa iringa mnaujua nilipokamatwa nao niliadhibiwa waliponiacha nikakimbilia nyumbani ile kurudi na gobore la babu begani mbona shule ilifungwa kwa muda hapa ni ukweli mtupu sitanii nilimsababishia babu matatizo makubwa sana japo alikuwa colonel mstaafu ila alisumbuka sana