Muzine
JF-Expert Member
- May 4, 2017
- 32,366
- 60,399
Habari zenu wana Jf
Nakumbuka nikiwa shule ya msingi nilikuwa na tabia ya kuwapiga watoto wa walimu endapo huyo Mwalimu alinipiga lazima nimvizie mtoto wake nimpe ngumi ya nguvu.
Nikitumwa kuchota maji kwa Mwalimu ambaye simpendi lazima nitemee mate .
Naombeni mnisamehe natubu dhambi zangu .Msema kweli mpnz wa mungu walimu kuweni makini na wanafunzi jaman.
Mapovu ruksa kesho nina kazi ya udobi.
Nakumbuka nikiwa shule ya msingi nilikuwa na tabia ya kuwapiga watoto wa walimu endapo huyo Mwalimu alinipiga lazima nimvizie mtoto wake nimpe ngumi ya nguvu.
Nikitumwa kuchota maji kwa Mwalimu ambaye simpendi lazima nitemee mate .
Naombeni mnisamehe natubu dhambi zangu .Msema kweli mpnz wa mungu walimu kuweni makini na wanafunzi jaman.
Mapovu ruksa kesho nina kazi ya udobi.