Mambo ya ajabu niliyoshuhudia msibani

Duh aibu kwlkwl ,mie nilihudhuria msiba wa haya madhehebu ya kiroho baadhi ya masharti mi kutokulia unapofiwa,marehemu ameenda kupumzika halafu na wewe utake usitake utakufa tu ndio yalikuwa madai yao kwnn usilie,basi ulikuwa msiba wa wameru wakavumilia sana sana vijisheria visivyoeleweka ikiwemo kutokutamka marehemu amefariki unatakiwa useme ametwaliwa,

Mara gari wanaita punda,majina yao Mara waumini wanaitana kama kwa code unakuta MTU anaitwa Jiwe kuu,Upendo wa madhabahu Mara Adamu wa pili nk. Wameru wakatulia tuliii ikafika SAA ya mahubiri mchungaji akaiambia hadhira bila kupepesa macho hivi mnaolia mnalilia nn? Nashangaa SAA mkizini hamlii mnakuja kulia msiban' Duh Mimi binafsi nikajiuliza hivi haya ninayoyasikia kaongea kwl au?

Mara kukazuka vurugu Weee wameru walisimama ulitokea ugomvi katikati ya ibada mchungaji ma waumini wake woote wakatolewa nje wao waumini walikuwa wamevaa mavazi meupe duhhh kilichoendelea msiniulize Ila marehemu alizikwa .ni kwl mkuu mambo haya na visanga kama hivi vipo.
 
Oyaa ulilala msibani siku tatu, ukasafirisha mwili kisha ukazika. Huo muda ulitoa wapi wakati chuo masomo yanaendelea.
Mimi siwezi kaa siku tano bila kufika chuo, sanasana nikitoka Ijumaa usiku narudi Jumapili mchana.
mtoa mada ni chawa wa hao watoto wa kishua kifupi ni mtoto wa mbwa ndio mana aliweza kuvumilia izo shida zote
 
Baada ya kusoma bandiko nzima kwa upande wangu nimeamua kunukuu haya maneno:-

“Ndugu zangu Naomba tu niwakumbushe kwamba hakuna asset nzuri kama watu”

Mkuu tafsiri ya watu usiichukulie juu juu,watu wanaweza kuwa wema sana/wabaya sana!

Nakubaliana na wewe kuwa kuna umuhimu mkubwa sana kuwa na watu,ila utakaa nao kivipi? Kama kuna kashughuli/event ingia pale uza sura kidogo,changamkia kazi baada ya muda ulioplan ondoka! Wee hujui ukiwa attached sana na watu ndio mwanzo wa dharau na umbea umbea wa kijinga + majungu?

Na cha muhimu zaidi ni kuheshimiana na kila mmoja lakini mazoea hamna!..sisi binadamu ni viumbe wa hovyo sana,jifunze kuishi personal life utajifunza mengi sana na utakuja kunishukuru.
 
Habari za wakati huu wana JF, kwanza kabisa nachelea kusema kwamba mm ni mgeni humu JF kwa maana kwamba huu ndio uzi wangu wa kwanza. Lkn nimekua nikifuatilia Jamii Forum kuanzia mwaka 2017 ambapo nimekua naingia tu kusoma thread mbalimbali lakini sikua nimejiunga mojamoja. Nimekua nikimfuatilia sana Mshana mpaka muda mwingine nikawa nakosa usingizi kwa ajili ya nyuzi zake za kuogofya...

Nimewaonea huruma hao mabinti.

Kuna namna dunia itawafunza naona wazazi wamewashindwa
 
Ahsante sana nadhani kuna cha kijifunza humu kuna wazazi na wanasikia,hata wazungu hawafanyi ujinga namna hyo
 
hata kama wanasema binadamu mko tofaut ila mkae muangalie huo urafiki wenu na huyo binti
 
Back
Top Bottom