Mambo vipi marafiki naombeni msahada

Loveb

Member
Jul 10, 2016
8
2
Wakujua ninacamera yangu ya Canon zoom mealibika frash nikiiwasha inaniandikia raise the flash wakati nimesha ifungua imeinuka naomba kujua nifanyeje.
 
Kijana, naomba nitajie jina kamili na model ya camera yako, ikiwezekana na picha.

Halafu elezea vizuri, hiyo message inakuja ukiwasha camera au ukitaka kushoot?

Na hiyo error message ilianza baada ya wewe kufanya nini?
 
d4d85f52ce9d75e5257a1dae7b05bd89.jpg
 
Kiswahili tatizo toka heading hadi maudhui unawakimbiza walio na nia ya kukupa msaada.
 
Ujumbe si mmeupata, yaani mmeelewa alichotaka kusema!
Sasa mpeni ushauri wa tatizo lake msiishie kumkosoa.
 
Ujumbe si mmeupata, yaani mmeelewa alichotaka kusema!
Sasa mpeni ushauri wa tatizo lake msiishie kumkosoa.
kukosolewa pia ni sehemu ya maisha huwezi kujifunza bila kukosolewa ....................... hatumpi msaada mpe wewe

hahahahaha
 
Back
Top Bottom