NGULI
JF-Expert Member
- Mar 31, 2008
- 4,805
- 637
1. Mtoto ananunuliwa hospitalini
2. Kufanya sex/ngono ni mambo ya ma balaa(ya kishetani)
3. Mtoto wa kiume hatakiwi jikoni atakuwa na tabia za kike
4. Mtoto wa Kiume haoti moto
NB: no. 3 & 4 nilisikia maeneo ya village kwetu nilikozaliwa.
no 4. Nilidadisi nikaambiwa na elders kuwa mwanaume sehemu ya kuzalisha/kiwanda mbegu za kiume iko nje ya mwili ambapo akiota moto hasa mkali itaadhiri uzao wake.
Tuendeleee mengine waliotudanganya ni nini?
2. Kufanya sex/ngono ni mambo ya ma balaa(ya kishetani)
3. Mtoto wa kiume hatakiwi jikoni atakuwa na tabia za kike
4. Mtoto wa Kiume haoti moto
NB: no. 3 & 4 nilisikia maeneo ya village kwetu nilikozaliwa.
no 4. Nilidadisi nikaambiwa na elders kuwa mwanaume sehemu ya kuzalisha/kiwanda mbegu za kiume iko nje ya mwili ambapo akiota moto hasa mkali itaadhiri uzao wake.
Tuendeleee mengine waliotudanganya ni nini?