Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,837
- 6,372
- Thread starter
- #41
Nna uhakika kabisa Hujasoma Chochote kati ya kilichoandikwaMtoa post fuatilia tena na upost kitu ambacho unakijua vizuri
Au umesoma Vichache
Au umesoma Uzi wote na Hamna hata kimoja ulichoelewa
Sjui hata nkujibu nini??
Nyuzi hii Imeletwa kwa ajili ya majidiliano sio ujuaji