Mambo saba nyuma ya vikwazo Marekani dhidi ya Tanzania

Demokrasia ni pana sana sivyo ufikiriavyo wewe unachotakiwa kujua uhuru kwa watu na vyombo binafsi pamoja na mashirika ya umma ni mambo ya kuzingatiwa sana
 
Lumumba akili zenu matopee sanaa..
Yani kwa akili zenu mnafikiri mmarekani anakiu ya hizo dhahabu sana kama vile hazipatikani kwingineko duniani.
Mmejawaa na akili za kishambaa na kijamaa kama huyo mwenyekiti wenu.
Dunia ya sasa is about technology thats how you get ahead,sio mambo eti madini na rasilimali hivyo vishapitwa na wakati..
Yaaani kwa Akili ulizonazo unafikiri Marekani ana shida na Demokrasia yako?
Embu soma hapa kidogo,
Tanzania: Obama, Kikwete Meet in Oval Office on Africa's Conflicts

22 MAY 2009

allAfrica.com
By Katy Gabel

President Jakaya Kikwete of Tanzania became the first African head of state to visit the Obama White House Thursday, where he discussed issues including Africa's most pressing conflicts with President Barack Obama.

According to a White House readout on the meeting, the presidents "had a valuable discussion on a range of issues" and "exchanged views on approaches to enhancing the U.S.–Tanzanian partnership, improving development policy in the fields of health, education, and agriculture, and working with other partners in the region to solve some of the most pressing conflicts on the African continent."

A Swahili-language report posted to a popular Tanzanian blog hosted by journalist Issa Michuzi said Kikwete and Obama had "debated some of the African continent's biggest challenges, in the Democratic Republic of the Congo, Darfur, Somalia and the current political situation in Kenya."

Ongoing tension between mainland Tanzania and Zanzibar was also raised, the report said. Kikwete had "explained to President Obama... the enthusiasm his government has for reconciliation of political issues with Zanzibar." Recent media reports have suggested that Zanzibar might wish to split from the mainland if oil is discovered offshore.

Michuzi's blog report added: "President Obama... praised President Kikwete for his leadership in improving government education, and assured him that all the aid for building infrastructure from the [U.S.] Millennium Challenge Account will speed things along, and that many projects are already under construction."

Kikwete also met with Secretary of State Hillary Clinton. She was among a range of Obama administration officials who sat in on the Oval Office meeting, according to the Swahili news report.

Others included Director of the White House's National Economic Council Lawrence Summers, National Security Advisor James Jones and Assistant Secretary of State for African Affairs Johnnie Carson, who was a teacher at the Malangali School in Iringa, Tanzania, in his youth. Carson was a Peace Corps volunteer in Tanzania from 1965 to 1968.

Tanzanians responded to the White House meeting with cautious optimism.

According to a report in the Tanzanian English-language daily, The Citizen, civil society activist Moses Kulaba said he was concerned with "our president's globe trotting," citing that words exchanged abroad often translate to little change back home.

"We need to assess that all these expensive overseas trips make economic sense to our country. I hope the President uses the opportunity to make it clear on what Tanzania wants to trade better," he said.

Nevertheless, the executive director of the Tanzania Investment Center, Emmanuel Ole Naiko, said Kikwete and Obama's meeting could boost investor confidence: "Their meeting is the best news in these times. Tanzania stands to gain from investors who often take such gestures seriously.

"The U.S. was usually last among the top 10 investors locally but since the rise in relations since the [George W.] Bush times, the country is today in fourth position in terms of foreign investment here," he told The Citizen.

Earlier in the week, President Kikwete visited California's Silicon Valley, where he met with executives at technology giants Cisco, IBM and Google. The three companies "agreed to help" Tanzania, the government-owned Daily News reported.

The newspaper said that at Cisco, Kikwete discussed the "various steps Tanzania was taking in embracing ICT fully, including that of the laying of a fibre-optic [cable] and the establishment of an IT college at the University of Dodoma."

At Google, he discussed how the government could work with the company to "accelerate development and promote efficiency." And IBM Vice President Dr. Mark Dean "assured President Kikwete that the century-old company would continue assisting Tanzania in ICT, especially the proposed IT college at the University of Dodoma."

Kikwete's meetings with technology companies come just a month before the expected landing date for Seacom, the first of three undersea fiber optic cables which will connect East Africa with Europe.

In an interview last year, Seacom's CEO Brian Herlihy told AllAfrica that Seacom "will provide free Internet access to the University of Dar es Salaam in Tanzania."

Kikwete also visited Stanford University in Palo Alto, where he discussed access to clean drinking water in Tanzania.

On Wednesday, Kikwete received an award from Doctors for Africa in Los Angeles for his efforts to improve health on the continent, and for steering his government toward increasing the country's health budget to 11 percent.

According to the Swahili-language report, Kikwete will spend the rest of his visit to the U.S. visiting international organizations and international financial institutions.
 
Propaganda mfu kabisa!Humu JF kuna watu wenye uelewa,sio watu wakuburuzwa na ngonjera za akina polepole!
 
Marekani kupitia Waziri wake mambo ya nje Bw. Pompeo imetangaza rasmi vikwazo dhidi ya Tanzania , uamuzi ambao umeungwa mkono na Bunge la Senate la Marekani na kueleza kuwa huu uwe mwanzo tu kuhakikisha demokrasia na haki za binadamu ikiwemo kulinda haki za makundi maalumu ( hasa mashoga) zinaheshimiwa!

Tamko hili limezua taharuki kubwa na kuleta tafsiri mbalimbali huku wengi wakihusisha maamuzi haya ya Marekani na utetezi wa haki za binadamu. Labda nikwasababu naomba nami niseme mambo matano (5) nyuma ya pazia la mgogoro huu;

#.Kwanza; Marekani haijawahi kupigania demokrasia wala haki za binadamu bali maslahi yake. Ndio sababu huwezi kuiona Rwanda wala Uganda kwenye vikwazo. Ndio sababu marekani analalamikia Irani yenye mfumo wa vyama vingi kuwa hakuna demokrasiea lakin humsikii kuhusu Saudi Arabia inayongozwa kwa mkono wa kifalme.

# Pili, Marekani inasumbuliwa na uamuzi wa CCM mpya chini ya JPM kuamua kufumua mikataba ya madini, gesi na nishati. Mfano ni mkataba wa kufua umeme Symbion (ulioasisiwa na Richmond & Dowans) ambao ulikuwa mkataba wa wizi kuliko IPTL.

#Tatu, niwakumbushe kwamba wakati sote tulijua ufisadi wa mkataba wa Richmond/ Dowans, nimitambo hiyo ambayo baadae kampuni ya Marekani Symbion iliuziwa na kuingia mkataba wa kifisadi zaidi hata ya Richmond/ Dowans & IPTL. Siku ya kusaini mkataba huu wa hovyo, Balozi wa Marekani alituma salamu za kupongeza.

#Nne, Katika kile kinachothibitisha Serikali ya Marekani ipo kupora zaidi, aliyekuwa waziri wa mambo ya nje wa Marekani, Bi. Hillary Clinton alitembelea mitambo hiyo anayohusishwa nayo kuibariki zaidi. Na zaidi Obama alipokuja Afrika, alitumia mitambo hiyo yenye historia chafu ya ufisadi kuzindua mpango mkubwa wa Marekani uliojulikana kama Power Africa.

#Tano, Niwazi kwamba uamuzi wa JPM kufumua na kusuka upya mikataba umeumiza pakubwa vigogo waliokua sehemu ya wanufaika wa mfumo wa serikali ulioruhusu upofaji kwa makampuni hayo kupora na kuwapoza kwa makombo..hivyo viongozi hao wa Serikali walionufaika ambao sasa ni wahanga wameungana na Serikali ya Marekani ama waziwazi au kwa siri ( marriage of convinience)

#Sita, dunia inajua kwamba Bank ya dunia ni ya Marekani, ipo kwa maslahi ya Marekani. IMF ni mali ya Ulaya kwa maslahi yao. Hivyo uamuzi wa Bank ya dunia na IMF kuanza mahusiano mabovu msingi wake ni ulele kwamba kampuni zao hazipati tena zilichopata kabla ya JPM.

#Saba, Nirudie kusisitiza kwamba Marekani haina kiu na serikali ya kidemokrasia popote ina kiu ya kuturudisha kwenye serikali iliyosheheni uporaji kwa kisingizio cha democracy na haki za binadamu.Marekani haiwezi kuridhika na mapitio ya mikataba ya madini Barrick iliyolazimisha fomula ya kugawana faida 50/50.walikubali shinto upande wakiwa na Plan-B, ambayo ndio haya tunayoshuhudia! Uamuzi ni wetu watanzania. Kusimama na Marekani au Taifa lako.
Nakubariana na wewe bro pia marekani wana mkataba na Tanzania kuhusu madini ya uranium ule aliokuja kuusaini Obama nahisi JPM hu mkataba ameutimua

Huyo Bashite amekuwa kama mbuzi wa kafara tu kwa kimbelembele chake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ndio ukweli, Propaganda ziko CHADEMA na Kwa kina Zitto at al,
Nakukumbusha,
1.Unakumbuka mwaka ambao Marais 3 wa Marekani waligogangana Dar kwa Siku moja?
Unajua sababu? Wana umuhimu gani wa kujazana Kwenye kanchi kadogo kama haka kwa siku moja? Na haijawahi kutokea duniani kokote Marais watatu wa Marekani kukutana siku moja katika nchi moja zaidi ya South Africa kwenye msiba wa Mandela.
2.Wakati Obama anaingia madarakani unajua Rais wa Kwanza kukutana naye Afrika alitoka wapi?
3.Je JPM toka amechaguliwa amekutana mara ngapi na viongozi wa USA?Sembuse kusafiri?
Statements za US zipo straight forward halafu wewe unatupeleka nyuma ya pazia.

Yote yaliyosemwa tumeyalalamikia na kuyapigia kelele miaka hii yote mitano, US hawaongei kitu kipya, sote tunayajua.

Tunaomba usitupeleke nyuma ya pazia, tubaki hapa hapa peupe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We lazima utakuwa ulifeli shuleni, chukua lile tamko usome zile hoja zote walizotoa halafu uanze kufanya contrast utakuwa umepata jibu. Sasa huu ni upayukaji, jibu hoja kwa hoja na useme waliyosema si kweli, hii ya kujificha kwenye shamba la karanga haitakusaidia.
 
Lumumba akili zenu matopee sanaa..
Yani kwa akili zenu mnafikiri mmarekani anakiu ya hizo dhahabu sana kama vile hazipatikani kwingineko duniani.
Mmejawaa na akili za kishambaa na kijamaa kama huyo mwenyekiti wenu.
Dunia ya sasa is about technology thats how you get ahead,sio mambo eti madini na rasilimali hivyo vishapitwa na wakati..
Umeongea point, ulimwengu unasonga mbele. Kwa maendeleo ya tecnhologia, miaka michache ijayo hata hiyo gesi iliyoko ardhini haitakuwa na thamani. Kama tumeshindwa sasa kuwapata wawekezaji, tumepoteza nafasi muhimu ya kutumia hiyo rasilimali kutuondoa ktk lindi la umaskini.
 
Kitendo cha nchi kama "SWEDEN" (Kibaraka wa marekani) kukata msaada kwa tanzania kwa 75% ndani ya miaka 5 ijayo (inaashiria wanapinga serikali ya jiwe), kwa mwenye akili ataelewa.

Kwanini miaka 5 ijayo???

Wanaangalia upepo kama sisi watanzania kama tutamchagua tena "JIWE" awe rais mwaka huu kwa mhula mwingine wa miaka 5 (au kama atatumia nguvu kuingia ikulu), kama atachaguliwa kua rais tena (kwa uchaguzi huru au nguvu) basi baada ya miaka mitano ijayo hawezi tena kugombea tena kikatiba (ndio warudishe misaada).

Na kama atatumia nguvu kurudi ikulu, basi hawa jamaa watatangaza vita au vikwazo "VIKALI ZAIDI" kwetu (pengine kama walivokutana navyo Zimbabwe).

NB

1) Na haya ya viongozi wa UVCCM (Mfano Iringa) kutangaza waziwazi kua Zitto wauliwe au wangemuua kama angekuwepo Iringa, ndio wanazidi kumweka mwenyekiti wa CCM kwenye kikaango cha kimataifa. Marekani wanapata "JUSTIFICATION" kwamba chochote watakacho amua kuifanya Tanzania basi wana haki.

2) Upinzani wakiamua kuitisha "MAANDAMANO HURU" ya kudai "KATIBA MPYA" basi watapata support na wafadhili dunia nzima. Kama zitatumika nguvu kuzuia maandamano huru kutoka katika vyombo vya dola basi "MAREKANI" wanaweza wakafanya mapinduzi ya uongozi Tanzania.

Uchaguzi #2020 CCM hana ujanja, atachinjiwa baharini "UPINZANI FT MAREKANI REMIX".

#Leo tusubiri JIWE akiwa anawaapisha ikulu viongozi wa vyombo vya usalama kama kutakua na ile "TAFRIJA" kama kawaida yetu ya "KUWAPONDA MABEBERU".

Yajayo yanafurahisha.
hivi hao waliosema zitto auwawe, hawajakamatwa mpaka sasa kwa kosa la kuhamasisha mauaji?
 
Marekani walivamia Iraqi kwa madai hamna demokrasia hadi Leo Iraqi wanajuta

Akaja Libya pia akavamia kwa madai kuwa hakuna demokrasia hadi Leo hi Libya wanajuta

Na sasa Tanzania ila tunajua Iraqi na Libya lengo lake lilikuwa kuiba mafuta sasa hapa Tanzania anataka nini

Lakini pia Marekani hawawezi kuvamia nchi bila ya kuandaa vibaraka wao kwanza na Mara nyingi huwa ni wapinzani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huo ndio ukweli, Propaganda ziko CHADEMA na Kwa kina Zitto at al,
Nakukumbusha,
1.Unakumbuka mwaka ambao Marais 3 wa Marekani waligogangana Dar kwa Siku moja?
Unajua sababu? Wana umuhimu gani wa kujazana Kwenye kanchi kadogo kama haka kwa siku moja? Na haijawahi kutokea duniani kokote Marais watatu wa Marekani kukutana siku moja katika nchi moja zaidi ya South Africa kwenye msiba wa Mandela.
2.Wakati Obama anaingia madarakani unajua Rais wa Kwanza kukutana naye Afrika alitoka wapi?
3.Je JPM toka amechaguliwa amekutana mara ngapi na viongozi wa USA?Sembuse kusafiri?
Hivi kumbe marekani inamarais watatu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hivi hao waliosema zitto auwawe, hawajakamatwa mpaka sasa kwa kosa la kuhamasisha mauaji?
Ni wapumbavu, hawajasoma "PROPORSAL" ya kuombea mkopo ule wa USD MILL 500, wanakurupuka kumlaumu zitto tu. Nchi hii wabunge wengi ni kama ma ng'ombe, yanafata mkumbo.

Ila tutaonge lugha moja mwaka huu.
 
Toa kwanza boriti iliyopo ndani ya jicho lako, kabla ya kuona kibanzi kilicho jichoni mwa mwenzako.
Kabla ya kumkosoa au kumhukumu mwingine hebu jichunguze wewe mwenyewe kwanza. Je wewe ni msafi? Ili kuona vizuri kile kibanzi ndani ya jicho la mwenzako, jicho lako linatakiwa kuwa safi kabisa. Kama ni mchafu basi tubu kwanza dhambi zako, ndipo uende kumsahihisha mwenzako.
 
Matendo mabaya yanayofanywa na viongozi ndiyo njia ya Marekani kuingia.
Siku zote mwenye nguvu lazima amtawale dhaifu. Hii haiepukiki. Hata ukiwachukua Mabaunsa 10, yupo mmoja lazima atawaendesha wote.
Marekani walivamia Iraqi kwa madai hamna demokrasia hadi Leo Iraqi wanajuta

Akaja Libya pia akavamia kwa madai kuwa hakuna demokrasia hadi Leo hi Libya wanajuta

Na sasa Tanzania ila tunajua Iraqi na Libya lengo lake lilikuwa kuiba mafuta sasa hapa Tanzania anataka nini

Lakini pia Marekani hawawezi kuvamia nchi bila ya kuandaa vibaraka wao kwanza na Mara nyingi huwa ni wapinzani

Sent using Jamii Forums mobile app
 
kwanza nianze kudeclare interest sipendezwi vyama vya upinzani vinavyofanyiwa na uhuru wa kufanya mikutano ulivyobanwa ila swali langu kubwa ni
.Je ni
Tanzania confirms it re-flagged 36 Iran ships, to deregister them

au

Tanzanite May Fund Terrorism (With Iran-Backed Conversions, Shiites Gain Ground in Africa)

au labda ni

Tanzania's president signs new mining bills into law cc (Barrick Honors the Memory of President George H. W. Bush)

ambapo akatuma

(Confessing to the Converted)

naomba tusilete point za makonda na ushoga tafadhari..i hate the dude but i think he is just scapegoat
 
Sababu za US kutupiga ban zimeaninishwa katika barua ya Pompeo ,kubwa zaidi ni Denial of right to life, fullstop hizi ngonjera zingine ni nosense
 
Marekani inasumbuliwa na muuaji ambaye ni mkuu wa mkoa wa DSM, ndivyo walivyosema hata wao, hayo mambo uliyoorodhesha hapo ni upuuzi tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom