Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 56,391
- 92,712
Kwa Jiwe ni Mungu ndio ameamuwa ugomvi.Afadhali Idd Amini kuliko Jiwe!! ...hivi mtu akitaka kukuua na ukamuwahi wewe kumuua/kumtuliza ! kuna ubaya gani?? wajameni!! yaani yeye Idd Amini ndo alitakiwa kuuawa??....kisa eti amekula hela ya Jeshi la Uganda???
Obote katorokea Zambia na ma hela mengi ya UG. Netanyahu,..Arie Sharon nk yaani .Mawaziri wa Isreal wote kwa ujumla wao wameua wapalestina wangapi?? tena terrible death kabisa na mwandishi wa habari mmoja tena Demu basi...juzijui hapa kauawa hana hata siraha si alionewa tuu yule!!
Mbona hao hawasemwi?? .....Amin alikula cha juu jeshini akatiliwa shaka!! eti akamatwe jamani mwee!! mke wa Netanyahu kala Mlungula mbona kimyaaa!!! amini alikuwa na haki ya kumpindua Obote!...
nyerere alimuondoa maksudi tu kwa kumuonea! na chuki kwa kuwa Obote alikuwa rafiki wa nyerere ya Bongo! tena wa wazi kabisaaa!! wakatumia ndugu zetu kufa jeshini/hela yetu ajili wa urafiki wao!! watulipe gharama za vita hiyo!
Kosa Idd Amin alikosana na Israel!! lkn asingekosana na Mayahudi hkn ambaye angeweza kumshinda vita yeyote ile Africa!....km ni kuua Jiwe kaua wangapi??? ambaye hakuua Bongo ni
Nyerere na Jakaya!...Nkapa kauaa sana Zanzibar ndo maana kafa faster kwa kuwa mshahara wa dhambi ni mauti mjuwege kuwa Mungu hakosei..... sasa huyu nani ana msema??
Jiwe huyo ndo kabisaaa alikuwa anatamka eti hamuwezi kumuacha msaliti ana survive tyuuu!....huyo hapo yuko wapi leo jiwe wenu?? kwa jinsi alivo msafi /mpole/mwelewa yule mzee Jakaya ataishi mpaka alie pooo!
Hilosuala la kula nyama za watu/kufanya mapenzi hovyo! walimnanga eti hajui kiingeredha, wkt UNO/OAU Alikuwa anatinga na anafoka!!! jiwe wenu aliogopa kwenda kutema cheche hapo UNGA!!
Mara ooh! eti leo anapata bwana kesho anamtukana...ni propaganda za kitoto sana! hazina mashiko! tena wanaosema hivo wanadharau kwako unaye wasikiliza!
hivi jamani kwa nini wayahudi wanaipenda sana Uganda?