Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,600
- 218,004
Hii ni kwa mujibu wa Waziri kivuli wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi Mh Godbless Lema alipoongea na waandishi wa habari .
Ikumbukwe kwamba Kambi rasmi ya upinzani imeamua kuachana na kusoma hotuba zake ndani ya bunge la Tanzania kutokana na hujuma za wazi zinazofanywa na Spika na Naibu wake .
Wito - Ukitaka kutatua utata kuhusu Mauaji ya Raia , Utekaji na watu kupotea ,ikiwa ni pamoja na wizi wa masanduku ya kura hutakiwi kukosa hotuba hii.
Mungu ibariki UKAWA
Ikumbukwe kwamba Kambi rasmi ya upinzani imeamua kuachana na kusoma hotuba zake ndani ya bunge la Tanzania kutokana na hujuma za wazi zinazofanywa na Spika na Naibu wake .
Wito - Ukitaka kutatua utata kuhusu Mauaji ya Raia , Utekaji na watu kupotea ,ikiwa ni pamoja na wizi wa masanduku ya kura hutakiwi kukosa hotuba hii.
Mungu ibariki UKAWA