Mirlz B Matthew
JF-Expert Member
- Oct 10, 2011
- 2,207
- 3,059
Huwa ana vitu vyake vya kipekee.....Vp wokovu wake ameuacha...!si aliokoka na album yake ya Gospel
Kama kulikuwa na jambo la msingi lingewekwa bayana masaa mawili ni mengi sana alifanya kusudi alijua watu walikuwa na hamu kubwa isitoshe all tickets soldPilato93:
Sidhani mkuu..Maana watu walikamia saana
YES... 🤝Kama kulikuwa na jambo la msingi lingewekwa bayana masaa mawili ni mengi sana alifanya kusudi alijua watu walikuwa na hamu kubwa isitoshe all tickets sold
Mirlz B Mathew:Huwa ana vitu vyake vya kipekee.....Vp wokovu wake ameuacha...!si aliokoka na album yake ya Gospel
Kavirondo:Kanye ana very loyal fanbase..Na changamoto zote anazopitia bado anaondoka na kijiji..
Timu kibao huko haziwezi jaza watu hivyo..
Sent from my SM-A405FN using JamiiForums mobile app
maga ni nn?Kavirondo:
Media za Amerika na baadhi ya watu mashuhuri wamesema huyu jamaa ni zaidi ya "genius" maana kumbuka alikuwa anasupport sana "MAGA" watu walijua atapunguza fanbase lkn imekuwa tofauti sana.
Make America great again by Trump
Kwanza Chicago sio jimbo ni Mji uliyo ndani ya Jimbo la Illinois humo ndani yake ndio kuna mini kama Chicago,Aurora,Joliet na Rock River.Jamaa ametoka jimbo la Chicago, siyo ATL..
Geraldincridible:
Mzaramo:Kwanza Chicago sio jimbo ni Mji uliyo ndani ya Jimbo la Illinois humo ndani yake ndio kuna mini kama Chicago,Aurora,Joliet na Rock River.
Na hiyo Atlanta sio jimbo vilevile ni mji tu ulio ndani ya Jimbo la Georgia na humo ndani kuna miji kama Athens,Columbus etc
Alafu jamaa amezaliwa Atlanta,Georgia akiwa na miaka mitatu ndio aliamia Chicago,Illinois.
Asante
Shoulder to lean onShoulder to learn on, bonge moja la ngoma
Titicomb:Shoulder to lean on
Shoulder to lean on
Shoulder to learn on, bonge moja la ngoma
Mamlaka na task aliyonayo Yeezy Ni lazima umuone genius wa mziki.Kanye Ni genius wa mziki sema ana ukichaa Fulani.
Hov anajua kabisa Kanye Ni genius na ndio hawezi mpotezea mazima nadhani ni mtu anayemkubali Sana .
Kilichowatenganisha Ni Huyo Kim kadashian alipoingia kwenye maisha ya Kanye .
Beyonce akawadaka mumewe Kim k yule Ni Jezebel. Utake usitake utanasa tu na jigga alivyo kitombi
Anyway it's good kanye na jayz they can work again .
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Mamlaka na task aliyonayo Yeezy Ni lazima umuone genius wa mziki.
Hov hawezi fanya unyama wake km aliofanya kwa DMX na wengine Ni vile Ana maslahi nae na Rank zinakaribiana japo sio kwa ukaribu huo.