sijui nini
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 2,553
- 1,285
Baada ya kuona watu wengi wakipaa matatizo mbalimbali kutokana na jambo hili leo nimeona tupeane somo kidogo juu ya jambo hili. Ni mara nyingi utasikia mtu akisema nataka kubadilisha operating system(wengi wao wakiwa waumiaji wa windows) na baada ya hapo unakuta mtu huyohuyo anajuta kwa nini alibadilisha na anaanza kuhangaika tena na matatizo tena pengine zaidi ya yale yaliyokuwepo mwanzo. Sasa basi embu tuone mambo ya msingi/muhimu kabisa mtu anapaswa kuzingatia pale anapoamua kubadili OS ya pc yake. ..na nitaongelea kwa undani zaidi kuhusu kwa wale wanaotaka kubadili windows..
Kitu kingine cha muhimu sana ni kujua software unazozitumia sana zinafanya kazi kwa window hiyo unayotaka kuweka? Mfano, ulikuwa unatumia xp na unapenda kutumia (au kazi zako zinahitaji sana ) software flani sasa unachange window labda kwenda vista au win 7bila kujua software yako kubwa sio compatible na win vista au seven na hawajatoa version inayokubali window hiyo matokeo yake unalazimisha wee na kusababisha matatizo mengine! Tabu yote ya nini !?
DRIVER DETECTIVE FULL VERSION
chukua hiyo itakusaidia.
Kwa leo yangu ni hayo tu, kumbuka mambo haya nimeyatoa mwenyewe kwa kulingana na uzoefu wangu na inawezekana kabisa kukawa na mengine zaidi ya haya kuwa huru kutoa maoni yako ili tuelimishane zaidi!!
- KWA NINI UNABADILI WINDOWS?
- FANYA UCHUNGUZI.
Kitu kingine cha muhimu sana ni kujua software unazozitumia sana zinafanya kazi kwa window hiyo unayotaka kuweka? Mfano, ulikuwa unatumia xp na unapenda kutumia (au kazi zako zinahitaji sana ) software flani sasa unachange window labda kwenda vista au win 7bila kujua software yako kubwa sio compatible na win vista au seven na hawajatoa version inayokubali window hiyo matokeo yake unalazimisha wee na kusababisha matatizo mengine! Tabu yote ya nini !?
- BACKUP BACKUP BACKUP BACKUP .ALWAYS!!!
DRIVER DETECTIVE FULL VERSION
chukua hiyo itakusaidia.
- FANYA UAMUZI SAHIHI..
- NYONGEZA..
Kwa leo yangu ni hayo tu, kumbuka mambo haya nimeyatoa mwenyewe kwa kulingana na uzoefu wangu na inawezekana kabisa kukawa na mengine zaidi ya haya kuwa huru kutoa maoni yako ili tuelimishane zaidi!!