Mambo muhimu kuzingatia..

Boflo

JF-Expert Member
Jan 20, 2010
4,384
4,409
1. Hakikisha unapoongea na simu unatumia sikio la kushoto
2.Usinywe dawa na maji baridi
3. Usile heavy meals baada ya saa kumi na moja jioni
4. Wakati simu yako imeisha charge na kubaki bar moja, usipokee simu yoyote utakayopigiwa kwa sababu simu inapoisha charge kama hivyo, radiation is 1000 times stronger.
 
1. Hakikisha unapoongea na simu unatumia sikio la kushoto
2.Usinywe dawa na maji baridi
3. Usile heavy meals baada ya saa kumi na moja jioni
4. Wakati simu yako imeisha charge na kubaki bar moja, usipokee simu yoyote utakayopigiwa kwa sababu simu inapoisha charge kama hivyo, radiation is 1000 times stronger.
ahsante my dear Boflo
 
Last edited by a moderator:
Hehehehe, haya banaa. Kwani wewe ni mrs small house rutherford au? Utatuulia dada yetu kwa pressure ujue!
hv kumbe ni rutherford ,okey!ahahahhahhahhahhahah dada yenu ashanifanya zombie yailhai simwachi akapumua!af wewe huku ni JF doctor tuashaanza kuleta habari zetu hapa!hebu twenzetu uwanja wa nyumbani!huku tunachanganyia tu watu habari!
 
Pia usinywe na kuendesha. Wala usimzoeze mbwa kukufuata kila mahali hasa ukiwa Afrika. Usipende kuwakimbia polisi hasa wa Marekani bila sababu.
 
1. Hakikisha unapoongea na simu unatumia sikio la kushoto
2.Usinywe dawa na maji baridi
3. Usile heavy meals baada ya saa kumi na moja jioni
4. Wakati simu yako imeisha charge na kubaki bar moja, usipokee simu yoyote utakayopigiwa kwa sababu simu inapoisha charge kama hivyo, radiation is 1000 times stronger.

:confused2::confused2::confused2::confused2::confused2:

Na ukishikwa na KIU na MKOJO kwa wakati mmoja auanze na lipi? Kunywa maji au kukojowa?
 
1. Hakikisha unapoongea na simu unatumia sikio la kushoto
2.Usinywe dawa na maji baridi
3. Usile heavy meals baada ya saa kumi na moja jioni
4. Wakati simu yako imeisha charge na kubaki bar moja, usipokee simu yoyote utakayopigiwa kwa sababu simu inapoisha charge kama hivyo, radiation is 1000 times stronger.

Mkuu Boflo, ahsante...lakini may i ask why(why shoukdnt i/we do so)?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom