Singida ndio home
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 3,192
- 3,353
Nadhani ni kuanzia mwaka jana serikali kupitia TAESA wamekuwa serious kuwatafutia vijana sehemu za kujitolea wakiwa kama interns.
Za chinichini ni kwamba hawa vijana hawawezi kuachwa ajira zikitoka katika mashirika wanayojitolea.
Achana na zile tambwe za utumishi kuwa na mamlaka pekee ya kuajiri, habari ni kwamba TAESA na Utumishi ni kama mama na mtoto wake hivyo tangazo la kazi likitoka na kukawa na interns kwenye hilo shirika basi hao interns wana uhakika mkubwa wa kuulamba maana wanakuwa wazoefu tayari wa jinsi kazi inavyofanyika na wanakua chini ya mwamvuli wa Taesa.
Za chini kwa chini ni kwamba zile nafasi za east African statistics institute, tanapa na Tra tayari kulikuwa na interns hivyo washaulamba.
Vijana mkaombe kujitolea kupitia Taesa, huwezi kuachwa hivi hivi.
Za chinichini ni kwamba hawa vijana hawawezi kuachwa ajira zikitoka katika mashirika wanayojitolea.
Achana na zile tambwe za utumishi kuwa na mamlaka pekee ya kuajiri, habari ni kwamba TAESA na Utumishi ni kama mama na mtoto wake hivyo tangazo la kazi likitoka na kukawa na interns kwenye hilo shirika basi hao interns wana uhakika mkubwa wa kuulamba maana wanakuwa wazoefu tayari wa jinsi kazi inavyofanyika na wanakua chini ya mwamvuli wa Taesa.
Za chini kwa chini ni kwamba zile nafasi za east African statistics institute, tanapa na Tra tayari kulikuwa na interns hivyo washaulamba.
Vijana mkaombe kujitolea kupitia Taesa, huwezi kuachwa hivi hivi.