DA HUSTLA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 3,663
- 3,881
Unaongelea kinyume au hayo unayoyasema kwenye pharmacy au lab kama huna mtaji ni bure.Binafsi naona kijana aende pharmacy kwanini kwa sababu
pharmacy ni kozi yenye mwanya mpana sana katika kujiajiri mfano unaweza kufungua duka la dawa baridi kwa ganzi ya diploma pia ukiwa na degree utapiga pesa sana hasa ukifungua pharmacy au hata labaratory pharmacy kam ile ya laicent medical industry katika ushalishaji dawa na vifaa tiba lakin pia diploma kwenda Bpharm ni rahisi zaidi kuliko CO to MD kwa sababu ya ushindani pia kama ukiajiriwa kwenye vituo vya afya mafamasia wanaitajika sana kuliko hata ma clinical unaweza uka kuta zahanati ya kijiji ma co wako wawili lakin mafamasi ni zaidi ya +
yote kwa yote good luck.