Mambo mengi , mda mchache

warumi

R I P
May 6, 2013
16,273
18,378
Dooh , jaman kumbe ndio maana kila anayekua nae anaishia kule, mmh jaman nyie mastaa kutwa kwa waganga kutafuta nyota na umaarufu muwe mnafikiria na fyucha zenu jaman, ndio umaarufu mtamu , Ila hizo laana na mikosi mnayobeba huko inacost fyucha zenu.

Sasa huyu nae mwanakuyatafuta mwanakuyapata mmh , yan mpaka Kafara juu Kisa tu umaarufu na pesa? Una bahati sana umejiwahi kwenye dini, labda safari hii kikombe unachokunywaga kila mwaka kitakuepuka

Nakutakia ndoa Njema, ukifanikiwa kuuepuka tena mtihani huu





Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Huyu bila shaka ni Diamond warumi unatesa sana wabongo maana Wanapenda Umbea ila ni wavivu wa Kufikiri sasa mm nitakuwa nawatafasiria


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom