Mimi kwa kukaa US kwa miaka mingi sasa na kusoma Finance huku na kufanya kazi kama consultant ninajua culture ya huku ya kampuni na ninajua Tanzania kwasababu mimi ni Mtanzania na nimekulia TZ kwa miaka 21 ya kwanza ya maisha yangu. Kuna mambo machache sana sana kwenye majadiliano ya TZ ambayo hizi kampuni zinaangalia
1. Kuhakikisha jina la Barrick haliharibiwi na hii skendo: Kuonyesha kwamba jina la Barrick haliaribiwi maana hii itasababisha (a) Share za kampuni kushuka (b) sehemu watakazo wekeza baadae kuwa ogopa mfano machimbo mapya hasa Africa na south america (c) uhusiano wao na serikali ya canada ambayo inajali sana kuonekana wako fair
2. Je pesa watakao lipa ni zaidi au pungufu ya pesa watakayopata kwa maisha yaliyobaki ya migodi. Kwa mfano kama serikali inataka walipe $700M wakati kwa maisha yote ya mgodi watapata $500M basi hawawezi kukubali maana ni hasara kubwa kwao. Lakini watakuwa tayari ku break even na kutokupata hasara kama serikali inasema $400 na wenyewe wanategemea kupata $500. Hivyo ni muhimu kwa serikali kujua kwamba je mpaka mgodi ufungwe ni thamani gani hawa jamaa watatengeneza kuanzia sasa ukitoa gharama zote. Lakini ki kubwa watajaribu kuondoka kana haitalipa bila kuharibu jina au kupigwa fine na serikali ya canada hilo ni muhimu. Vilevile tuelewe hawataweza kulipa zaidi ya $700 M na vilevile wataomba malipo kwa miaka mingi sio kwa mara moja ili wawe na cash-flow. Hivyo kama tunategemea pesa nyingi kwa mkupo haitatokea. Serikali inaweza ku switch issue ya pesa mfano wanaweza kuchukua ndege canada halafu Barrick wakalipa ile kampuni mfano ndege mbili kwa $400M halafu barric waka lipa polepole kampuni badala ya serikali kutoa pesa zote.
3. Watataka pesa na makubaliano yawe na mabaraka ya serikali ya canada ili kama wakitoa pesa na ikitumika vibaya lawama ziwe kwa serikali sio kwao hivyo wataweka serikali ya canada kama wasimamizi huru.
Ukweli ni kwamba hawatalipa pesa za ajabu ambazo tunataka maana si za kweli Acacia value ni around $2B na Barrick $18B tusitegemee watupe kwa mara moja $1B ni ndoto
1. Kuhakikisha jina la Barrick haliharibiwi na hii skendo: Kuonyesha kwamba jina la Barrick haliaribiwi maana hii itasababisha (a) Share za kampuni kushuka (b) sehemu watakazo wekeza baadae kuwa ogopa mfano machimbo mapya hasa Africa na south america (c) uhusiano wao na serikali ya canada ambayo inajali sana kuonekana wako fair
2. Je pesa watakao lipa ni zaidi au pungufu ya pesa watakayopata kwa maisha yaliyobaki ya migodi. Kwa mfano kama serikali inataka walipe $700M wakati kwa maisha yote ya mgodi watapata $500M basi hawawezi kukubali maana ni hasara kubwa kwao. Lakini watakuwa tayari ku break even na kutokupata hasara kama serikali inasema $400 na wenyewe wanategemea kupata $500. Hivyo ni muhimu kwa serikali kujua kwamba je mpaka mgodi ufungwe ni thamani gani hawa jamaa watatengeneza kuanzia sasa ukitoa gharama zote. Lakini ki kubwa watajaribu kuondoka kana haitalipa bila kuharibu jina au kupigwa fine na serikali ya canada hilo ni muhimu. Vilevile tuelewe hawataweza kulipa zaidi ya $700 M na vilevile wataomba malipo kwa miaka mingi sio kwa mara moja ili wawe na cash-flow. Hivyo kama tunategemea pesa nyingi kwa mkupo haitatokea. Serikali inaweza ku switch issue ya pesa mfano wanaweza kuchukua ndege canada halafu Barrick wakalipa ile kampuni mfano ndege mbili kwa $400M halafu barric waka lipa polepole kampuni badala ya serikali kutoa pesa zote.
3. Watataka pesa na makubaliano yawe na mabaraka ya serikali ya canada ili kama wakitoa pesa na ikitumika vibaya lawama ziwe kwa serikali sio kwao hivyo wataweka serikali ya canada kama wasimamizi huru.
Ukweli ni kwamba hawatalipa pesa za ajabu ambazo tunataka maana si za kweli Acacia value ni around $2B na Barrick $18B tusitegemee watupe kwa mara moja $1B ni ndoto