Mambo matatu aliyokuwa nayo Hayati Dk. John Pombe Magufuli kulingana na Rais Mstaafu Dk. Jakaya Mrisho Kikwete

Victor Mlaki

JF-Expert Member
May 1, 2016
3,541
3,449
Bila kuzungusha sana uzi mambo hayo ni;
(i) Kugusa maisha ya wengi
(ii) Kusifiwa akiwa hai
(iv) Kuondoka wakati bado anahitajika.

Mambo haya kwa ujumla wake kulingana na hotuba iliyosomwa na Rais Mstaafu Dk. Jakaya Mrisho Kikwete leo ni bahati aliyokuwa nayo Hayati D.k John Pombe Joseph Magufuli.
 
1.Kuondoka wakati hahitajiki.

2.Kuteka wapinzani wake.

3.Kutesa wapinzani wake.

4.Kuua wapinzani wake kama akina Ben saanane.

5.Kuua vyombo vya habari.

6.Kuua uhuru wa kujieleza.

7.Kuiba kura.

8.Kuua biashara za watu kupitia sera mbovu za uchumi.

9.Kudanganya katika takwimu za uchumi wa nchi.

10.Kuweka mihimili yote mitatu mfukoni mwake.

11.Kuua uchumi wa nchi.

12.Kuua watu kwa Corona kupitia leadership negligence.

13.Kuhakikisha kuwa akina Ben Saanane na Azory Gwanda walikipata cha mtema kuni.

14.Ukabila kwa kuhamishia rasilimali nyingi za nchi Chato na kujaza wasukuma serikalini.

15 Ukanda kwa kupeleka SGR mwanza wakati siyo economic strategic zone.

16.Ubaguzi wa rangi kwa kuwakandia wanawake weusi.

17.Kugandamiza demokrasia kwa kukataza vyama vya upinzani kufanya siasa wakati CCM kufanya siasa ni ruksa.

18.Kunyanyasa malaika-watoto wa kike wasirudi shule wakipata mimba.

19.Ufisadi wa kutisha kwa kufanya miradi mikubwa bila budget kupita bungeni.

20.Wizi wa kutisha wa mali ya uma kupitia Mayanga constructions LTD.
Umeisikiliza hotuba lakini?
 
Mimi naweka zangu.

1. Roho mbaya
Kuchukia kuajiri watu serikalini, kutopandisha watu mishahara hii ni tafsiri ya roho mbaya.

2. Ukatili
Mauji ya watu, kujeruhi na kutesa watu huu ni ukatili.

3. Ubinafsi.
Kuipendelea Chato kisa ndiko alikozaliwa, waziri wa madini kutoka chato na muidhinishaji fedha mkuu kuwa mpwa wako na kuwapendelea wasukuma ktk nafasi mbalimbali kama mkuu wa majeshi, mganga mkuu wa serikali na wengineo huu ni ushahidi kwamba the late was selfish.
 
1.Kuondoka wakati hahitajiki.

2.Kuteka wapinzani wake kama akina Azory Gwanda.

3.Kutesa wapinzani wake.

4.Kuua wapinzani wake na wakosoaji wake kama akina Ben saanane na kuwapiga wapinzani wake risasi kama ilivyokuwa kwa Tindu Lissu.

5.Kuua vyombo vya habari.

6.Kuua uhuru wa kujieleza.

7.Kuiba kura.

8.Kuua biashara za watu kupitia sera mbovu za uchumi.

9.Kudanganya katika takwimu za uchumi wa nchi.

10.Kuweka mihimili yote mitatu mfukoni mwake.

11.Kuua uchumi wa nchi kupitia sheria mbovu za uwekezaji.

12.Kuua watu kwa Corona kupitia leadership negligence.

13.Kuhakikisha kuwa akina Ben Saanane na Azory Gwanda walikipata cha mtema kuni.

14.Ukabila kwa kuhamishia rasilimali nyingi za nchi Chato na kujaza wasukuma serikalini.

15 Ukanda kwa kupeleka SGR mwanza wakati siyo economic strategic zone.

16.Ubaguzi wa rangi kwa kuwakandia wanawake weusi.

17.Kugandamiza demokrasia kwa kukataza vyama vya upinzani kufanya siasa wakati CCM kufanya siasa ni ruksa.

18.Kunyanyasa malaika-watoto wa kike wasirudi shule wakipata mimba.

19.Ufisadi wa kutisha kwa kufanya miradi mikubwa bila budget kupita bungeni.

20.Wizi wa kutisha wa mali ya uma kupitia Mayanga constructions LTD.

21.Kubambikizia kesi za kuhujumu uchumi wapinzani wake nchi nzima.
Wewe mchagga wewe
 
18.Kunyanyasa malaika-watoto wa kike wasirudi shule wakipata mimba. 😃😃 Malaika n hao waliokua na mimba au walio tumbon mwa mama zao sijaelew Apo
 
Mimi naweka zangu.

1. Roho mbaya
Kuchukia kuajiri watu serikalini, kutopandisha watu mishahara hii ni tafsiri ya roho mbaya.

2. Ukatili
Mauji ya watu, kujeruhi na kutesa watu huu ni ukatili.

3. Ubinafsi.
Kuipendelea Chato kisa ndiko alikozaliwa, waziri wa madini kutoka chato na muidhinishaji fedha mkuu kuwa mpwa wako na kuwapendelea wasukuma ktk nafasi mbalimbali kama mkuu wa majeshi, mganga mkuu wa serikali na wengineo huu ni ushahidi kwamba the late was selfish.
Naked true
 
Back
Top Bottom