Victor Mlaki
JF-Expert Member
- May 1, 2016
- 3,541
- 3,449
Bila kuzungusha sana uzi mambo hayo ni;
(i) Kugusa maisha ya wengi
(ii) Kusifiwa akiwa hai
(iv) Kuondoka wakati bado anahitajika.
Mambo haya kwa ujumla wake kulingana na hotuba iliyosomwa na Rais Mstaafu Dk. Jakaya Mrisho Kikwete leo ni bahati aliyokuwa nayo Hayati D.k John Pombe Joseph Magufuli.
(i) Kugusa maisha ya wengi
(ii) Kusifiwa akiwa hai
(iv) Kuondoka wakati bado anahitajika.
Mambo haya kwa ujumla wake kulingana na hotuba iliyosomwa na Rais Mstaafu Dk. Jakaya Mrisho Kikwete leo ni bahati aliyokuwa nayo Hayati D.k John Pombe Joseph Magufuli.