Mambo matano yatakayoipa CCM ushindi wa kishindo katika chaguzi zijazo

KARLO MWILAPWA

JF-Expert Member
Apr 10, 2019
2,590
4,600
Ikiwa imebaki miezi miwili tuingie katika uchaguzi za serikali za mitaa na mwaka mmoja tuingie kwenye uchaguzi mkuu, mtazamo wa wananchi juu ya siasa umebadilika sana. Vyama vya upinzani vimeingiwa na hisia za kushindwa katika chaguzi mpaka kuwa na mtazamo wa kuhisi kushindwa kwao kunatokana au kutatokana na CCM. Hizo ni dalili za mwanzo kabisa za kuonyesha ushindi wa kishindo kwa CCM katika chaguzi zilizopo mbeleni ni Dhahiri na kama hali ya CCM kukubalika hivi itaendelea tuna uhakika wa 98% ya ushindi katika chaguzi hizo.

Kwa tathmini ndogo niliyoifanya, nimegundua kuwa CCM itapata ushindi wa kishindo katika chaguzi zijazo kutokana na mambo haya matano:
  • Uongozi thabiti wa viongozi wetu wakuu wa chama
Uongozi wa juu wa chama chetu umekuwa mstari wa mbele kukemea na kudhibti mienendo isiyofaa ya kimaadili kwa wanachama na viongozi wengine. Tumeshuhudia mara nyingi Katibu mkuu wa CCM akikemea mienendo isiyofaa ndani ya CCM. Hali hiyo imejenga Imani kubwa sana kwa wananchi juu ya uimara wa CCM katika kuwasimamia wanachama wake hususani wote watakaoomba ridhaa ya kuchaguliwa kupitia CCM. Kwa hali hiyo wananchi wana uhakika wa kuchagua kiongozi mzuri kupitia CCM na hivyo kufanya wagombea wote kuuzika na kuchagulika kwa kishindo.

  • Wapinzani kuwa wanaharakati
Mtazamo wa wananchi juu ya masuala ya siasa umebadilika. Asilimia kubwa ya watanzania wanaweza kutofautisha kati ya siasa na harakati na wanaona vyama vya upinzani si vya siasa ila vya harakati. Watanzania wameona madhara ya harakati katika siasa na mojawapo ni kushindwa kushikamana katika masuala muhimu ya maendeleo, harakati zinasababisha kutetea upande ambao maslahi ya taifa yako shakani na pia harakati zinachangia kwa kiasi kikubwa kukosa uzalendo. Hayo yote watanzania wameona athari zake na wengine wanaona si vizuri kubeba mzigo wa wanaharakati begani wakiweka rehani uzalendo wa taifa lao. Kwa mantiki ya kukataliwa kwa harakati , ushindi wa kishindo kwa CCM ni Dhahiri.

  • Maendeleo yasiyo na chama.
Kauli ya Rais wetu kuwa maendeo hayana chama imewapa hamasa wananchi kuikubali na kuipenda CCM Zaidi. Kauli hiyo inadhihirisha kuwa rais wetu haangalii nani awe wapi katika kusukuma gurudumu la maendeleo ya nchi yetu mbele. Mifano ipo mingi na Dhahiri Rais kuwatumia hata wapinzani wenye nia ya kuwaletea wananchi maendeleo. Kitendo cha kufanya hivyo kimefanya wananchi waone CCM ni chama chenye nia ya dhati ya kuwaletea wananchi maendelea bila kujali itikadi zao za kisiasa, kidini, n.k. kitendo hicho kimeiongezea Imani CCM na kwa hakika ushindi wa kishindo ni Dhahiri.

  • Ahadi zinazotekelezeka
Wananchi wanataka kuona walichoahidiwa kinafanyika na matokeo yanaonekana. Kupitia ilani ya CCM tathmini iliyofanywa mikoa na sehemu mbalimbali imeonesha kuwa ilani imetekelezwa kwa karibu 90% mpaka sasa. Kwa maana hiyo mpaka mwaka huu unaisha CCM itakuwa imetekeleza ilani yake 100%. Kasi hii ya utekelezaji wa ilani na ahadi imeongeza uaminifu na imani ya wananchi kuendelea kuichagua CCM tena kwa kishindo kikubwa. Wananchi wanasema CCM INATEKELEZA ILANI NA ILANI, SISI TUTAKELEZA KUWACHAGUA KWA KISHINDO. TUTEKELEZE PAMOJA.

  • CCM kuendelea kuwa chama cha ukombozi
Ukiachana na dhima ya ukombozi wa kisiasa, CCM kimeendelea kuwa chama cha ukombozi wa kiuchumi na kifikra kwa mtanzania. Sera za kiuchumi na maendeleo za CCM zimeonesha ndizo sera rafiki kwa ukombozi wa mtanzania kiuchumi katika karne hii. watanzania bado wanaamini ukombozi wa kweli wa mtanzania kiuchumi utatokana na sera za CCM. Imani hiyo ya wananchi juu ya CCM inatupa Imani kuwa CCM itashinda kwa kishindo kwa chaguzi zijazo.
 
Ikiwa imebaki miezi miwili tuingie katika uchaguzi za serikali za mitaa na mwaka mmoja tuingie kwenye uchaguzi mkuu, mtazamo wa wananchi juu ya siasa umebadilika sana. Vyama vya upinzani vimeingiwa na hisia za kushindwa katika chaguzi mpaka kuwa na mtazamo wa kuhisi kushindwa kwao kunatokana au kutatokana na CCM. Hizo ni dalili za mwanzo kabisa za kuonyesha ushindi wa kishindo kwa CCM katika chaguzi zilizopo mbeleni ni Dhahiri na kama hali ya CCM kukubalika hivi itaendelea tuna uhakika wa 98% ya ushindi katika chaguzi hizo.

Kwa tathmini ndogo niliyoifanya, nimegundua kuwa CCM itapata ushindi wa kishindo katika chaguzi zijazo kutokana na mambo haya matano:
  • Uongozi thabiti wa viongozi wetu wakuu wa chama
Uongozi wa juu wa chama chetu umekuwa mstari wa mbele kukemea na kudhibti mienendo isiyofaa ya kimaadili kwa wanachama na viongozi wengine. Tumeshuhudia mara nyingi Katibu mkuu wa CCM akikemea mienendo isiyofaa ndani ya CCM. Hali hiyo imejenga Imani kubwa sana kwa wananchi juu ya uimara wa CCM katika kuwasimamia wanachama wake hususani wote watakaoomba ridhaa ya kuchaguliwa kupitia CCM. Kwa hali hiyo wananchi wana uhakika wa kuchagua kiongozi mzuri kupitia CCM na hivyo kufanya wagombea wote kuuzika na kuchagulika kwa kishindo.

  • Wapinzani kuwa wanaharakati
Mtazamo wa wananchi juu ya masuala ya siasa umebadilika. Asilimia kubwa ya watanzania wanaweza kutofautisha kati ya siasa na harakati na wanaona vyama vya upinzani si vya siasa ila vya harakati. Watanzania wameona madhara ya harakati katika siasa na mojawapo ni kushindwa kushikamana katika masuala muhimu ya maendeleo, harakati zinasababisha kutetea upande ambao maslahi ya taifa yako shakani na pia harakati zinachangia kwa kiasi kikubwa kukosa uzalendo. Hayo yote watanzania wameona athari zake na wengine wanaona si vizuri kubeba mzigo wa wanaharakati begani wakiweka rehani uzalendo wa taifa lao. Kwa mantiki ya kukataliwa kwa harakati , ushindi wa kishindo kwa CCM ni Dhahiri.

  • Maendeleo yasiyo na chama.
Kauli ya Rais wetu kuwa maendeo hayana chama imewapa hamasa wananchi kuikubali na kuipenda CCM Zaidi. Kauli hiyo inadhihirisha kuwa rais wetu haangalii nani awe wapi katika kusukuma gurudumu la maendeleo ya nchi yetu mbele. Mifano ipo mingi na Dhahiri Rais kuwatumia hata wapinzani wenye nia ya kuwaletea wananchi maendeleo. Kitendo cha kufanya hivyo kimefanya wananchi waone CCM ni chama chenye nia ya dhati ya kuwaletea wananchi maendelea bila kujali itikadi zao za kisiasa, kidini, n.k. kitendo hicho kimeiongezea Imani CCM na kwa hakika ushindi wa kishindo ni Dhahiri.

  • Ahadi zinazotekelezeka
Wananchi wanataka kuona walichoahidiwa kinafanyika na matokeo yanaonekana. Kupitia ilani ya CCM tathmini iliyofanywa mikoa na sehemu mbalimbali imeonesha kuwa ilani imetekelezwa kwa karibu 90% mpaka sasa. Kwa maana hiyo mpaka mwaka huu unaisha CCM itakuwa imetekeleza ilani yake 100%. Kasi hii ya utekelezaji wa ilani na ahadi imeongeza uaminifu na imani ya wananchi kuendelea kuichagua CCM tena kwa kishindo kikubwa. Wananchi wanasema CCM INATEKELEZA ILANI NA ILANI, SISI TUTAKELEZA KUWACHAGUA KWA KISHINDO. TUTEKELEZE PAMOJA.

  • CCM kuendelea kuwa chama cha ukombozi
Ukiachana na dhima ya ukombozi wa kisiasa, CCM kimeendelea kuwa chama cha ukombozi wa kiuchumi na kifikra kwa mtanzania. Sera za kiuchumi na maendeleo za CCM zimeonesha ndizo sera rafiki kwa ukombozi wa mtanzania kiuchumi katika karne hii. watanzania bado wanaamini ukombozi wa kweli wa mtanzania kiuchumi utatokana na sera za CCM. Imani hiyo ya wananchi juu ya CCM inatupa Imani kuwa CCM itashinda kwa kishindo kwa chaguzi zijazo.
WATU WATAKA

1:CHAKULA
2:AJIRA
3:USALAMA
4:UHURU WA MAONI

2020 CCM Twende na MEMBE niguse ninuke💪💪💪
 
WATU WATAKA

1:CHAKULA
2:AJIRA
3:USALAMA
4:UHURU WA MAONI

2020 CCM Twende na MEMBE niguse ninuke💪💪💪
utaratibu wa CCM ni miaka 10 kwa urais na kipindi cha miaka 5 kwa ubunge na udiwani. je, Rais aliyepo sasa kamaliza miaka 10? Kama bado tuendelee kuimba kale kawimbo " Magufuli, Kada wa CCM apewe kura za ndio"
 
Kama Mnashinda Mbona Mnaandikisha Namba Za Vitambulisho Na Mjina Kwenye Daftari Za Wajumbe Wa Mitaa Wa Ccm

Siku Mkinifata Mimi Ni Risasi

Nyie Ni Tume Ya Uchaguz?
Wana andikisha za wanachama wao, WANA CCM, hawawezi kuja kwako kwani mtaa wote unakujua wewe siyo CCM. Wacha waendelee na mikakati yao ya USHINDI WA KISHINDO ndugu yangu. Subiri matokeo ya mwaka huu - 2019 na mwaka kesho 2020!
 
Ikiwa imebaki miezi miwili tuingie katika uchaguzi za serikali za mitaa na mwaka mmoja tuingie kwenye uchaguzi mkuu, mtazamo wa wananchi juu ya siasa umebadilika sana. Vyama vya upinzani vimeingiwa na hisia za kushindwa katika chaguzi mpaka kuwa na mtazamo wa kuhisi kushindwa kwao kunatokana au kutatokana na CCM. Hizo ni dalili za mwanzo kabisa za kuonyesha ushindi wa kishindo kwa CCM katika chaguzi zilizopo mbeleni ni Dhahiri na kama hali ya CCM kukubalika hivi itaendelea tuna uhakika wa 98% ya ushindi katika chaguzi hizo.

Kwa tathmini ndogo niliyoifanya, nimegundua kuwa CCM itapata ushindi wa kishindo katika chaguzi zijazo kutokana na mambo haya matano:
  • Uongozi thabiti wa viongozi wetu wakuu wa chama
Uongozi wa juu wa chama chetu umekuwa mstari wa mbele kukemea na kudhibti mienendo isiyofaa ya kimaadili kwa wanachama na viongozi wengine. Tumeshuhudia mara nyingi Katibu mkuu wa CCM akikemea mienendo isiyofaa ndani ya CCM. Hali hiyo imejenga Imani kubwa sana kwa wananchi juu ya uimara wa CCM katika kuwasimamia wanachama wake hususani wote watakaoomba ridhaa ya kuchaguliwa kupitia CCM. Kwa hali hiyo wananchi wana uhakika wa kuchagua kiongozi mzuri kupitia CCM na hivyo kufanya wagombea wote kuuzika na kuchagulika kwa kishindo.

  • Wapinzani kuwa wanaharakati
Mtazamo wa wananchi juu ya masuala ya siasa umebadilika. Asilimia kubwa ya watanzania wanaweza kutofautisha kati ya siasa na harakati na wanaona vyama vya upinzani si vya siasa ila vya harakati. Watanzania wameona madhara ya harakati katika siasa na mojawapo ni kushindwa kushikamana katika masuala muhimu ya maendeleo, harakati zinasababisha kutetea upande ambao maslahi ya taifa yako shakani na pia harakati zinachangia kwa kiasi kikubwa kukosa uzalendo. Hayo yote watanzania wameona athari zake na wengine wanaona si vizuri kubeba mzigo wa wanaharakati begani wakiweka rehani uzalendo wa taifa lao. Kwa mantiki ya kukataliwa kwa harakati , ushindi wa kishindo kwa CCM ni Dhahiri.

  • Maendeleo yasiyo na chama.
Kauli ya Rais wetu kuwa maendeo hayana chama imewapa hamasa wananchi kuikubali na kuipenda CCM Zaidi. Kauli hiyo inadhihirisha kuwa rais wetu haangalii nani awe wapi katika kusukuma gurudumu la maendeleo ya nchi yetu mbele. Mifano ipo mingi na Dhahiri Rais kuwatumia hata wapinzani wenye nia ya kuwaletea wananchi maendeleo. Kitendo cha kufanya hivyo kimefanya wananchi waone CCM ni chama chenye nia ya dhati ya kuwaletea wananchi maendelea bila kujali itikadi zao za kisiasa, kidini, n.k. kitendo hicho kimeiongezea Imani CCM na kwa hakika ushindi wa kishindo ni Dhahiri.

  • Ahadi zinazotekelezeka
Wananchi wanataka kuona walichoahidiwa kinafanyika na matokeo yanaonekana. Kupitia ilani ya CCM tathmini iliyofanywa mikoa na sehemu mbalimbali imeonesha kuwa ilani imetekelezwa kwa karibu 90% mpaka sasa. Kwa maana hiyo mpaka mwaka huu unaisha CCM itakuwa imetekeleza ilani yake 100%. Kasi hii ya utekelezaji wa ilani na ahadi imeongeza uaminifu na imani ya wananchi kuendelea kuichagua CCM tena kwa kishindo kikubwa. Wananchi wanasema CCM INATEKELEZA ILANI NA ILANI, SISI TUTAKELEZA KUWACHAGUA KWA KISHINDO. TUTEKELEZE PAMOJA.

  • CCM kuendelea kuwa chama cha ukombozi
Ukiachana na dhima ya ukombozi wa kisiasa, CCM kimeendelea kuwa chama cha ukombozi wa kiuchumi na kifikra kwa mtanzania. Sera za kiuchumi na maendeleo za CCM zimeonesha ndizo sera rafiki kwa ukombozi wa mtanzania kiuchumi katika karne hii. watanzania bado wanaamini ukombozi wa kweli wa mtanzania kiuchumi utatokana na sera za CCM. Imani hiyo ya wananchi juu ya CCM inatupa Imani kuwa CCM itashinda kwa kishindo kwa chaguzi zijazo.
Kwakweli Umesahau nasisi wavuvi haswa waziwa tanganyika tutaipigia kura ccm kwakuchoma nyavu zetu halali nakutupora mashine zetu au engin kibabe tukikumbuka hayo kura ni ccm kikwazo kwa ccm wangeweka tume huru iliwatupime shukurani nauelewa wetu wananchi
 
Asante mtoa mada kwa kutuletea pumba. Lakini mambo makubwa yatakayo etea CCM 2020 ushindi ni;
1. Tume ya Uchaguzi
2. Polisi
3. Jeshi la Wananchi
4. TISS
5. Katiba ya 1977 toleo la 2000 inayokataza kuhoji matokeo ya Uchaguzi wa Rais Mahakamani
 
Asante mtoa mada kwa kutuletea pumba. Lakini mambo makubwa yatakayo etea CCM 2020 ushindi ni;
1. Tume ya Uchaguzi
2. Polisi
3. Jeshi la Wananchi
4. TISS
5. Katiba ya 1977 toleo la 2000 inayokataza kuhoji matokeo ya Uchaguzi wa Rais Mahakamani
1. mchakato wa uandikishaji, upigaji ,uhesabuji na utangazaji wa matokeo ya kura unathibitisha lawama za upinzani dhidi ya tume ya uchaguzi ni batili na zisizo na mashiko na ni lawama zinazotokana na hofu ya kushindwa

2. Polisi hawajawahi kuhusika na uhesabuji kura ila kulinda mchakato mzima wa uchaguzi ili kuwepo kwa ulinzi na usalama. Matukio ya UPINZANI kujaribu kufifisha zoezi la uchaguzi ndio sababu ya ninyi kuwaona wakihusika kumbe ni katika kulinda usalama wa wengine.

3. hata ingekuwepo katiba ya 2015 bado isingeruhusu aliyeshindwa kuwa mshindi kama mnavyotaka watu waamini
 
1. mchakato wa uandikishaji, upigaji ,uhesabuji na utangazaji wa matokeo ya kura unathibitisha lawama za upinzani dhidi ya tume ya uchaguzi ni batili na zisizo na mashiko na ni lawama zinazotokana na hofu ya kushindwa

2. Polisi hawajawahi kuhusika na uhesabuji kura ila kulinda mchakato mzima wa uchaguzi ili kuwepo kwa ulinzi na usalama. Matukio ya UPINZANI kujaribu kufifisha zoezi la uchaguzi ndio sababu ya ninyi kuwaona wakihusika kumbe ni katika kulinda usalama wa wengine.

3. hata ingekuwepo katiba ya 2015 bado isingeruhusu aliyeshindwa kuwa mshindi kama mnavyotaka watu waamini
Una ujasiri sana wa kuendelea kuandika pumba. Hongera nacho ni kipaji kama cha kucheza mpira au kuimba.
 
Yafuatayo ndiyo mambo ya kweli yanayo/yatakayoifanya ccm kushinda uchaguzi:-
1) Uwepo wa tume isiyo huru ya uchaguzi
2) Kuwatumia makada (wakurugenzi wa halmashauri) kusimamia uchaguzi
3) Matumizi ya vyombo vya dola hasa polisi kusimamia/kuingilia zoezi la uchaguzi.
4) Uwepo wa viongozi wengi wa upinzani ambao ni wachumia tumbo na mamluki wa chama tawala.
5) Ukosefu wa makusudi wa elimu ya uraia kwa watanzania walio wengi na hivyo kushindwa kuchagua viongozi bora na mwisho wa siku kuishia kuchagua chama badala ya mtu.
6) Kitendo cha ccm na viongozi wake kujigeuza kuwa wakoloni wapya nchini mwetu na hivyo kutokuwa tayari kuachia madaraka kwa njia ya amani, nk.

Na mwisho kabisa nikukumbushe tu, nyingi ya pointi ulizoandika hapo hazina uhalisia! Mfano hiyo ya ccm kuwa chama cha ukombozi! Kimemkomboa nani? Maana hicho chama chenu kilianzishwa mwaka 1977! Bora hata ungeitaja TANU na ASP!
 
utaratibu wa CCM ni miaka 10 kwa urais na kipindi cha miaka 5 kwa ubunge na udiwani. je, Rais aliyepo sasa kamaliza miaka 10? Kama bado tuendelee kuimba kale kawimbo " Magufuli, Kada wa CCM apewe kura za ndio"
wewe ni kijana mdogo sana na njaa inakusumbua mno kuleta post magumashi kila wiki kwa kumsifia jiwe!

WATANZANIA wataamua!

kwa hali ilivyo ,wewe huelewi sijui upo nchi gani!

HAKIKA YA CCM 2020 IPO chini YA Mbobezi MEMBE BENARD,Vinginevyo Oppossion inachugua dola.

Endelea kujidanganya tu,Tamaa ya teuzi inakuhangaisha sana bwana mdogo!

ni hayo tu ! 2020 BENARD MEMBE niguse ninuke!💪💪💪
 
Yafuatayo ndiyo mambo ya kweli yanayo/yatakayoifanya ccm kushinda uchaguzi:-
1) Uwepo wa tume isiyo huru ya uchaguzi
2) Kuwatumia makada (wakurugenzi wa halmashauri) kusimamia uchaguzi
3) Matumizi ya vyombo vya dola hasa polisi kusimamia/kuingilia zoezi la uchaguzi.
4) Uwepo wa viongozi wengi wa upinzani ambao ni wachumia tumbo na mamluki wa chama tawala.
5) Ukosefu wa makusudi wa elimu ya uraia kwa watanzania walio wengi na hivyo kushindwa kuchagua viongozi bora na mwisho wa siku kuishia kuchagua chama badala ya mtu.
6) Kitendo cha ccm na viongozi wake kujigeuza kuwa wakoloni wapya nchini mwetu na hivyo kutokuwa tayari kuachia madaraka kwa njia ya amani, nk.

Na mwisho kabisa nikukumbushe tu, nyingi ya pointi ulizoandika hapo hazina uhalisia! Mfano hiyo ya ccm kuwa chama cha ukombozi! Kimemkomboa nani? Maana hicho chama chenu kilianzishwa mwaka 1977! Bora hata ungeitaja TANU na ASP!
ahaaa GREAT THINKER! mwelimishe BWANA MDOGO!
 
Kwakweli Umesahau nasisi wavuvi haswa waziwa tanganyika tutaipigia kura ccm kwakuchoma nyavu zetu halali nakutupora mashine zetu au engin kibabe tukikumbuka hayo kura ni ccm kikwazo kwa ccm wangeweka tume huru iliwatupime shukurani nauelewa wetu wananchi
Ziwa Tanganyika ilikuwa cha mtoto kwa kilichotokea ziwa Victoria . Wana machungu lakini tutaambiwa eti wameshinda kwa 98%.
 
Ikiwa imebaki miezi miwili tuingie katika uchaguzi za serikali za mitaa na mwaka mmoja tuingie kwenye uchaguzi mkuu, mtazamo wa wananchi juu ya siasa umebadilika sana. Vyama vya upinzani vimeingiwa na hisia za kushindwa katika chaguzi mpaka kuwa na mtazamo wa kuhisi kushindwa kwao kunatokana au kutatokana na CCM. Hizo ni dalili za mwanzo kabisa za kuonyesha ushindi wa kishindo kwa CCM katika chaguzi zilizopo mbeleni ni Dhahiri na kama hali ya CCM kukubalika hivi itaendelea tuna uhakika wa 98% ya ushindi katika chaguzi hizo.

Kwa tathmini ndogo niliyoifanya, nimegundua kuwa CCM itapata ushindi wa kishindo katika chaguzi zijazo kutokana na mambo haya matano:
  • Uongozi thabiti wa viongozi wetu wakuu wa chama
Uongozi wa juu wa chama chetu umekuwa mstari wa mbele kukemea na kudhibti mienendo isiyofaa ya kimaadili kwa wanachama na viongozi wengine. Tumeshuhudia mara nyingi Katibu mkuu wa CCM akikemea mienendo isiyofaa ndani ya CCM. Hali hiyo imejenga Imani kubwa sana kwa wananchi juu ya uimara wa CCM katika kuwasimamia wanachama wake hususani wote watakaoomba ridhaa ya kuchaguliwa kupitia CCM. Kwa hali hiyo wananchi wana uhakika wa kuchagua kiongozi mzuri kupitia CCM na hivyo kufanya wagombea wote kuuzika na kuchagulika kwa kishindo.

  • Wapinzani kuwa wanaharakati
Mtazamo wa wananchi juu ya masuala ya siasa umebadilika. Asilimia kubwa ya watanzania wanaweza kutofautisha kati ya siasa na harakati na wanaona vyama vya upinzani si vya siasa ila vya harakati. Watanzania wameona madhara ya harakati katika siasa na mojawapo ni kushindwa kushikamana katika masuala muhimu ya maendeleo, harakati zinasababisha kutetea upande ambao maslahi ya taifa yako shakani na pia harakati zinachangia kwa kiasi kikubwa kukosa uzalendo. Hayo yote watanzania wameona athari zake na wengine wanaona si vizuri kubeba mzigo wa wanaharakati begani wakiweka rehani uzalendo wa taifa lao. Kwa mantiki ya kukataliwa kwa harakati , ushindi wa kishindo kwa CCM ni Dhahiri.

  • Maendeleo yasiyo na chama.
Kauli ya Rais wetu kuwa maendeo hayana chama imewapa hamasa wananchi kuikubali na kuipenda CCM Zaidi. Kauli hiyo inadhihirisha kuwa rais wetu haangalii nani awe wapi katika kusukuma gurudumu la maendeleo ya nchi yetu mbele. Mifano ipo mingi na Dhahiri Rais kuwatumia hata wapinzani wenye nia ya kuwaletea wananchi maendeleo. Kitendo cha kufanya hivyo kimefanya wananchi waone CCM ni chama chenye nia ya dhati ya kuwaletea wananchi maendelea bila kujali itikadi zao za kisiasa, kidini, n.k. kitendo hicho kimeiongezea Imani CCM na kwa hakika ushindi wa kishindo ni Dhahiri.

  • Ahadi zinazotekelezeka
Wananchi wanataka kuona walichoahidiwa kinafanyika na matokeo yanaonekana. Kupitia ilani ya CCM tathmini iliyofanywa mikoa na sehemu mbalimbali imeonesha kuwa ilani imetekelezwa kwa karibu 90% mpaka sasa. Kwa maana hiyo mpaka mwaka huu unaisha CCM itakuwa imetekeleza ilani yake 100%. Kasi hii ya utekelezaji wa ilani na ahadi imeongeza uaminifu na imani ya wananchi kuendelea kuichagua CCM tena kwa kishindo kikubwa. Wananchi wanasema CCM INATEKELEZA ILANI NA ILANI, SISI TUTAKELEZA KUWACHAGUA KWA KISHINDO. TUTEKELEZE PAMOJA.

  • CCM kuendelea kuwa chama cha ukombozi
Ukiachana na dhima ya ukombozi wa kisiasa, CCM kimeendelea kuwa chama cha ukombozi wa kiuchumi na kifikra kwa mtanzania. Sera za kiuchumi na maendeleo za CCM zimeonesha ndizo sera rafiki kwa ukombozi wa mtanzania kiuchumi katika karne hii. watanzania bado wanaamini ukombozi wa kweli wa mtanzania kiuchumi utatokana na sera za CCM. Imani hiyo ya wananchi juu ya CCM inatupa Imani kuwa CCM itashinda kwa kishindo kwa chaguzi zijazo.
"Mkuu Lumumba unaimba sauti ya ngapi??" kwenye praise choir ya jiwe😂😂😂😅😅😁😁😀😀
 
1. mchakato wa uandikishaji, upigaji ,uhesabuji na utangazaji wa matokeo ya kura unathibitisha lawama za upinzani dhidi ya tume ya uchaguzi ni batili na zisizo na mashiko na ni lawama zinazotokana na hofu ya kushindwa

2. Polisi hawajawahi kuhusika na uhesabuji kura ila kulinda mchakato mzima wa uchaguzi ili kuwepo kwa ulinzi na usalama. Matukio ya UPINZANI kujaribu kufifisha zoezi la uchaguzi ndio sababu ya ninyi kuwaona wakihusika kumbe ni katika kulinda usalama wa wengine.

3. hata ingekuwepo katiba ya 2015 bado isingeruhusu aliyeshindwa kuwa mshindi kama mnavyotaka watu waamini
Nani alishinda wewe ?!. Punguza dhihaka
 
wewe ni kijana mdogo sana na njaa inakusumbua mno kuleta post magumashi kila wiki kwa kumsifia jiwe!

WATANZANIA wataamua!

kwa hali ilivyo ,wewe huelewi sijui upo nchi gani!

HAKIKA YA CCM 2020 IPO chini YA Mbobezi MEMBE BENARD,Vinginevyo Oppossion inachugua dola.

Endelea kujidanganya tu,Tamaa ya teuzi inakuhangaisha sana bwana mdogo!

ni hayo tu ! 2020 BENARD MEMBE niguse ninuke!💪💪💪
sijakataa Membe kuwa Rais lakini tuseme ukweli 2020 ni Magufuli tena kuanzia CCM mpaka uchaguzi mkuu. Utaratibu wa chama chetu unajulikana kuwa ni miaka 10 mfululizo kwa Urais na kwa huo utaratibu hakuna wa kupindua meza 2020
 
Back
Top Bottom