ndammu
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 3,407
- 3,799
Nakwambia kwa kinywa kipana.
Ccm haina na haitakuwa na uwezo wa kushinda kwa ushindi wa kushindo kwenye uchaguzi wowote.
Nikulize unaposema itashinda kwa ushindi wa kishindo jee itajikubalisha kutotumia nguvu za zaida? Ikiwamo policcm, nec, n.k
Madedi mlikuwa mnawatetea mahakamani wasimamie chaguzi kwa manufaa ya upinzani?
Ccm haina na haitakuwa na uwezo wa kushinda kwa ushindi wa kushindo kwenye uchaguzi wowote.
Nikulize unaposema itashinda kwa ushindi wa kishindo jee itajikubalisha kutotumia nguvu za zaida? Ikiwamo policcm, nec, n.k
Madedi mlikuwa mnawatetea mahakamani wasimamie chaguzi kwa manufaa ya upinzani?