Jadda
JF-Expert Member
- May 20, 2019
- 29,252
- 83,638
Bwana we! Kama hapo hamna trako huu uzi hauna maana. Akili na tabia tutatumia zenu bwana, au mnajisahaulisha?
Bwana we! Kama hapo hamna trako huu uzi hauna maana. Akili na tabia tutatumia zenu bwana, au mnajisahaulisha?
Nishamfahamisha...Pole pole kaka
Labda hajui.
Kumbe yupo humu?Hakika ni kweli kabisa, mwanamke wangu anavyote hivyo...
Shemeji usinisahau mwaliko, ntacheza sana siku hiyo hadi watu waulize kwani huyu ni ndugu yake nani??!! (Mungu atujaalie uzima)Hakika ni kweli kabisa, mwanamke wangu anavyote hivyo...
Usijali Shemeji...Shemeji usinisahau mwaliko, ntacheza sana siku hiyo hadi watu waulize kwani huyu ni ndugu yake nani??!! (Mungu atujaalie uzima)
Chizi wangu bwanaShemeji usinisahau mwaliko, ntacheza sana siku hiyo hadi watu waulize kwani huyu ni ndugu yake nani??!! (Mungu atujaalie uzima)