Uchaguzi 2020 Mambo makubwa matatu ambayo Bernad Camilius Membe anamzidi Tundu Antipas Lissu!

Membe amebaki kuwa mgombea wa kwenye mitandao, sijui hata akigombea ubunge kama atashinda.
 
Bahati nzuri hata Zitto Kabwe anajua kabisa huyu mtu hawezi kushinda uchaguzi ila wanabank on possibility of winning a few extra seats za ubunge huko anakotoka Membe

CHADEMA wasikubali kabisa kumuunga mkono huyu mamluki. Hana sifa wala hapendwi
Tatizo kule kusini wanaojua kusoma na kuandika si wengi sana. Wengi wanaomba msaada wa wahudumu wakati wa kupiga kura, wanaishia kuonyeshwa kuweka alama kwa mgombea wa CCM.
 
😂😂😂😂😂 nasikia mbali ya buku 7 kuna bonus pia jamaa analala nayo mbele pia 😜

Jo sometimes hebu pumzika kidogo...kuna maisha nje ya siasa..na unacholipwa ni chiken feed
 
😂😂😂😂😂 nasikia mbali ya buku 7 kuna bonus pia jamaa analala nayo mbele pia 😜
Nyie chekeni tu ......mtalia huko mbele.

Mwenyekiti wa NEC amesisitiza muwe makini msije kulaumu mtu mbele ya safari!
 
Kura zihesabiwe hadharani ni hicho tu. Watanzania tunataka UWAZI. Kama kuhesabu kura zenu hadharani ni sawa kwanini muogope October kura kuhesabiwa hadharani? Huyo hajitambui vitisho vyake UCHWARA havimtishi yoyote yule.

1596315243284.jpeg


Nyie chekeni tu ......mtalia huko mbele.

Mwenyekiti wa NEC amesisitiza muwe makini msije kulaumu mtu mbele ya safari!
 
Bahati nzuri hata Zitto Kabwe anajua kabisa huyu mtu hawezi kushinda uchaguzi ila wanabank on possibility of winning a few extra seats za ubunge huko anakotoka Membe

CHADEMA wasikubali kabisa kumuunga mkono huyu mamluki. Hana sifa wala hapendwi
Kwani issue ni sera au kupendwa, unajiita consultant kisha una spelt nonsense, kupendwa alipendwa Lowasa na umamluki wake kisha Chuma cha pua JPM kikamkalisha na mijihela yake aliyowahonga kina mbowe hadi huyo LISU wako akatepeta kwa aibu
 
Mosi, Membe ni mwana diplomasia aliyebobea

Pili, Membe mwana intelejensia

Tatu, Membe ni mwana seminari

Hayo maeneo matatu hutoa watu wenye maono hata kama unaangukia kwenye kundi moja kati ya hayo.

Maendeleo hayana vyama!
Ujinga wa ccm unajulikana wazi hamtoki mwaka huu.
 
Mosi, Membe ni mwana diplomasia aliyebobea

Pili, Membe mwana intelejensia

Tatu, Membe ni mwana seminari

Hayo maeneo matatu hutoa watu wenye maono hata kama unaangukia kwenye kundi moja kati ya hayo.

Maendeleo hayana vyama!
Mwinyi alikuwa na sifa ipi kati ya hizo?
 
Membe kaangushwa na lowasa na sumaye kwa kurudi ccm ila sifa zote anazo baadhi ya wananchi kumuamini bora hamsapoti Lissu
 
Back
Top Bottom