mdaktary
Member
- Jul 1, 2016
- 51
- 18
naona ujampta vzur ni iv ktabu icho alikiandka 2000 by that alikuwa na 80.mkuu hapo kuna ukwel wowote kuhusu umri...maana mleta mada anasema jumbe kafa akiwa na umri wa miaka 80 na wewe unasema alizaliwa mwaka1920 ikiwa na maana angekuwa na miaka takribani 96 sasa sijui inaukweli kias gani hapo