DocJayGroup
JF-Expert Member
- Jan 17, 2020
- 1,654
- 3,327
- Thread starter
- #21
Kwa pesa jasho linatoka kwa sana mzee. Na kulala haulali.Kuna watu wanatusadikisha kuwa ukienda USA maisha ni matamu sana,hebu tueleze maisha yakoje na utamu huo ni vipi,watu wanapata pesa kiulaini bila ya kutoka jasho sana au pesa yake iko nje nje sana ukilinganisha na huku kwetu...?