mambo hayo

englibertm

JF-Expert Member
May 1, 2009
9,253
6,207
602259_467781393316669_1630893081_n.jpg
 
Huyo mdada mwenye khanga moja ni mrembo wa umbo na anavutia, tena inaonekana yupo maeneo ya hostel aidha sekondary au vyuo maana dabo deka inasomeka hapo. Kama ni yeye binafsi amejito akwenye mitandao ya jamii basi haidhuru atakuwa na yake kichwani ila kama yeye amepigwa picha bila kujua na imerushwa bila ridhaa yake kweli si sawa maana hapo mtu anayemfahamu lazima akiioona hii picha atamjua tuu, la boyfriend au mumewe akiiona hii picha lazima amjue tuu, maana sehemu ya uso inonekana japo ni nyusi na hayo makwapa na mapaja yanatosha sana kumtambua mtu.
Halafu si sawa kumrusha mtu namna hiyo kwa mtazamo wangu sijui kama wengine wanaona nionacho mimi.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom