Mambo Haya Kumi (10) Usiyojua Kuhusu Fedha Ndiyo Yanakufanya Uendelee Kuwa Masikini.

Mara ya kwanza nilipokisoma kitabu Rich daddy poor daddy nilihisi utajiri na financial freedom vikimiminika ndani ya roho yangu, nikaona kabisa nguvu ya maandishi kwenye maisha yangu, but in the long run ndipo nilikuja kuujua upande wa pili wa kile nilichokiona kuwa ukweli wa kimuujiza, sasa nipo huru, na hata sikumbuki nilichokisoma huko miaka hiyo, thanks for sharing
Asante sana kwa ushuhuda huu,
Kuna nguvu kubwa sana kwenye maandishi, kama mtu utafanyia kazi yale unayojifunza.
 
Karibuni sana kwa wale ambao bado hamjapata kitabu kwa bei ya ofa.
Siku za ofa zinakaribia kuisha, chukua hatua mapema.
Piga simu au tuma ujumbe sasa kwa namba 0717396253 au 0755953887 na utaletewa kitabu ulipo (kama upo dar) au kutumiwa (kama upo mkoani).
 
elimu nyingi duniani ni namna ya kupata fedha ila kwa uchache ni nanmna ya kuzitumia kitu ambacho kinatesa wengi
 
elimu nyingi duniani ni namna ya kupata fedha ila kwa uchache ni nanmna ya kuzitumia kitu ambacho kinatesa wengi
Kitabu cha ELIMU YA MSINGI YA FEDHA kimegusia maeneo yote muhimu kuhusu fedha, kuanzia kuzipata, kuzitunza na kuziwekeza ili zikuzalishie fedha zaidi.
Karibu ukipate ili uwe na maarifa sahihi ya kifedha.
 
Hivyo kama umesoma maelezo hayo na ukaona hakuna cha kipya cha kujifunza, maana yake wewe siyo mtu wa kujifunza na hilo linaweza kuwa kikwazo kwako kupiga hatua zaidi ya pale ulipo sasa.
Ndugu unasafari ndefu sana kuliko ambavyo nilikuwa nakufikiria,
NIkajua may be ni mtu fulani leaner but kumbe ni walewale wajuaji,
NImekupa ushauri wa mambo mawili ya msingi
1.Lugha
2.Sanaa

Sasa nakufafanulia
Lugha Pamoja Na Sanaa
Usipotumia lugha fulani yakumshawishi mtu ama lugha inayomfanya mtu ajisikie ama apende kusoma kitu chako inakuwa ni kazi bure
Msomaji hapaswi akutafute mwandishi ulikuwa unataka kusema nini, unapaswa kumfanya msomaji umtafute anahitaji nini,
lugha unayoitumia na sanaa yako ni yakumfanya msomaji akutafute wewe mwandishi ulilenga nini,
Ndio maana nikakuambia mfumo unaoutumia hata ulivyoeleza kwa ambao tumezoea kusoma vitabu haujanishawishi niweze kununua nakala hata moja maana tayari nikilekile umeeleza kwa lugha ya kawaida isiyokuwa na mvuto.

Umenilazimisha sana kuzungumza haya ila sina budi kukueleza,
Lengo ni hili
Andika lugha itakayomvutia msomaji
kuna waandishi wameandika mambo ya kawaida sana ila walitumia lugha vizuri na sanaa wakaweza kuuza sana nakala zao na walifanikiwa kututeka wasomaji
Mfano soma kitabu "KISS THAT FROG" Ni mambo ya kawaida sana yaliyoandikwa yaani kwa wanaotafuta maarifa hasa kwa njia ya maandishi wamekutana nayo mara nyingi mno,
Ila yameonekana kama mawazo ya kipekee sababu katumia Lugha ya kutushawishi wasomaji na amefanikiwa.

sasa rudia tena kusoma maoni yangu ya mara ya kwanza kisha acha kuwa mjuaji unapokuja mbele za watu kuwakilisha mawazo yako
Tumia lugha rafiki
 
Back
Top Bottom