Tajiri wa Magomeni
JF-Expert Member
- Aug 21, 2019
- 4,274
- 2,921
Kuna maprofesa na madaktari kibao katika kila sekta.Je Ni Mambo gani yamegunduliwa na na Wasomi wa hapa Bongo? Uzi tayari
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Binafsi, nafahamu "Mpemba effect" which was invented by a form 3 school boy Erasto Mpemba in 1963. The idea was that, at certain conditions hot water actually freeze faster than cold one.Kuna maprofesa na madaktari kibao katika kila sekta.Je Ni Mambo gani yamegunduliwa na na Wasomi wa hapa Bongo? Uzi tayari
yap!! hiyo ya mpemba niliiona kwenye gazeti.ntafuatilia zaidiBinafsi, nafahamu "Mpemba effect" which was invented by a form 3 school boy Erasto Mpemba in 1963. The idea was that, at certain conditions hot water actually freeze faster than cold one.
Na inajulikana worldwide. Majarida kama "physics world" yamechapisha kuhusu hilo au unaweza kuiangalia Wikipedia.
Labda na hii ya bernard kiwia, ila nimesikia tu. Charging kwa baiskeli na washing machine by using windmill
__kigoda
--- kibao cha mbuzi.
--- kibatari.
--- basikeli ya mbao miguu mitatu.
umewahi kusikia kuhusu wale panya wa sua?__kigoda
--- kibao cha mbuzi.
--- kibatari.
--- basikeli ya mbao miguu mitatu.
wakina lipumbaWanasayansi Tanzania wababaishaji
Bora hata ya wachumi
Una utani na Jiwe weweUgunduzi wa kuiba Kura labda
Tanzania hakuna wasomi hao maprofesa na madokta wote wanavyeti feki.
Swala hili mimi huwa naona kama lilichomekwa ili ku-divert attention ya wenye mamlaka, kutoka kwenye tetemeko la Kagera. na ndivyo ambavyo huwa naona mpaka leo! Swala la makinikia halikuwa geni, lilikuwepo siku zote hapo kabla, lakini cha kushangaz lilipotoikea tu ntetemeko la Kagera, nswala hili nalo likaibuka tena wakati huo huo na kwa nguvu ya ajabu sana na isiyokuwa ya kawaida. Huwa ninaona kama ilikuwa tekniki mojawapo ya kuwafanya watawala wasifikirie sana kuhusiana na tetemeko la Kagera. Ni maoni yangu lakiniMakinikia.
1.Pro-pesa Kalamaganda Kabugi- amegundua namna ya kujibu MABEBERU kwa kuwakazia macho ka -mjusi alobawa na mlango.Kuna maprofesa na madaktari kibao katika kila sekta.Je Ni Mambo gani yamegunduliwa na na Wasomi wa hapa Bongo? Uzi tayari